Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,239
Huu upuuzi wa Chami unatudhihirishia kuwa ccm ni chama kinachotuumiza watanzania na tunajuta sana kuwa na serikali inayofanya wajibu wake kwa misingi ya siasa za propaganda za kijinga zisizojali tanzania yetu ya kesho.
Tunapaswa kujengewa barabara nzuri kwasababu ni kodi zetu na ni haki yetu na sio kwasababu mbunge wa eneo husika ni ccm au mkazi wa eneo husika ni Anna Mkapa.
Huu ujinga wa ccm ni wa kuukomesha kwa kukiadhibu chama hichi kwa kukikataa kuanzia ngazi ya kata mpaka taifa.
Hatutavumilia ujinga huu kamwe.
Kataa ccm, kataa ushetani na uharamia wa wabunge wa ccm.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Tunapaswa kujengewa barabara nzuri kwasababu ni kodi zetu na ni haki yetu na sio kwasababu mbunge wa eneo husika ni ccm au mkazi wa eneo husika ni Anna Mkapa.
Huu ujinga wa ccm ni wa kuukomesha kwa kukiadhibu chama hichi kwa kukikataa kuanzia ngazi ya kata mpaka taifa.
Hatutavumilia ujinga huu kamwe.
Kataa ccm, kataa ushetani na uharamia wa wabunge wa ccm.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums