Mbowe amlipua JK kuhusu katiba mpya

Mbowe amlipua JK kuhusu katiba mpya

Mbowe hajitambui! Ana hamu na damu za watu kama Idd Amin.

Wewe kisebengo hivi wewe na Mbowe nani hajitambui na miccm na Mbowe nani anahamu na damu ya watanzania ref,kampeni za u uchaguzi huko arusha na mauajiya Mwangosi Mbowe anapigania haki yakwako mama yako baba yako na ukoo wenu wote pamoja na watz kwa ujumla. Ungekua na akiri ungemuunga mkono ila kwasababu maccm yanakuhemea hujitambui mbulula wewe
 
Mbowe hana vilipulio kile kichwa hakina kitu haiwezekani uishie kidato cha nne uje umlipue msomi kama jk sijui ataanzia wapi yeye ishu zake ni muziki tu.

....kloooooo....aaaaghhh.....ptuuuuu...et...umesemaje
Wewe eti....msomi umesababisha Nimepaliwa na maji,
Hivi wasomi unawajua wewe.!yaani dah acha niishie hapa
 
Bwana Mingoi tunaomba ww utuonyeshe shule yako kubwa umesaidia nn nchi hii mpaka ss. Kama hakuna basi bora kukaa kimya ili watu tujue kuwa u mjinga kuliko kufungua domo lako kubwabwaja maneno yasiyo kichwa au miguu. Watu wa aina yako ndiyo walio ifikisha hii nchi hapa ilipo.... Umeme kuonekana anasa, maji kuyapata mpaka mama zetu ss wanaota vipara kwa kuyafuata mbali na yakipatikana basi si maji safi wala salama n.k. Shame on you wote mnaoshabikia ujinga kwa maumivu ya watanzania wenzenu.
Napita tu wanangu.
 
Mbowe hajitambui! Ana hamu na damu za watu kama Idd Amin.

Kama ana DAMU kama Hizo basi si angeshakuwa AMEUA watu wengi zaidi ya CCM na serikali yake ILIVYOUA... Mfano MWANGOSI !!!!

Kama Hauna Mfano wa UUWAJI wake SHUT YOUR DIRTY MOUTH kwasababu Unakuwa MZUSHI... TUPE a LEGITIMATE story about Him kama aliua wapi na kina nani nao na kivipi; sio kutumia UMEME na INTERNET kujaza UKOROFINDO
 
Mbowe ni mgumu sana wa kuelewa ndio maana ilikuwa ngumu kuendelea na shule

  1. Unaenda shule kwa ajili ya nini?
  2. Unaenda kujifunza nini
  3. Elimu unayoenda ilitoka mbinguni au ni ubunifu wa binadamu kama mbowe?
  4. Kwa mtu aliyeelimika kuna haja gani kupoteza muda shuleni?
​
Bado sijawa mtuwa wa kila kitu copy and paste toka kwa mtu mwingine, kwanza kupata elimu ya kujua kusoma na kuandika mtu mwenye akili nzuri huwa ameshaingia katika ulimwengu mpana. Kwa mwenye akili finyu hata angepata PHD ngapi atabaki na uzuzu tu, elimu haimbadilishi mtu ila inategemea na uwezo wa mtu. Usiwe kama akina Muhongo bana.
 
mbowe is a capitalist,anatafuta cheap popularity apate michango
 
Back
Top Bottom