Acha kudanganya watu. Ukweli ni huu hapa:Sheria za NEC zimebadilika bwashee ukiwa mbunge kaa kwenye mipaka yako unless ni ishu inayomhitaji kama mwenyekiti ndio anapaswa kuwepo
Lumumba safari hii lazima watembee kichwa chini miguu juuNyie mmewapitisha wale wazee bila kupingwa ili waongeze nguvu kwa jamaa yetu lakini wapi? Mbona raundi ya kwanza Mbowe alizunguka na Lissu kanda zote? hii ni strategy tu.
Lissu binafsi anauzika sana kwa wapiga kura hata haitaji support yoyote, naamini unaona balaa lake kila anapopita.
Naskia huko kwenu sasa hivi mnataka kuwaongeza wakina Kinana na Makamba mmeanza kuwatuma watu wakawapigie magoti, lakini nawaambia hili balaa la Lissu lumumba hamliwezi, ndio maana Polepole ameanza kuropoka matusi tu, hoja za Lissu hazijibiki!
Ccm sasa hivi ipo icu na waganga wenu wamesusiaMbowe sio mjinga!. Anajua Urais hawawezi shinda sasa aambatane Lissu much know hili iweje? Ndo maana anaona bora apambanie zake ubunge ingawa nae hatopata ! Wameshamkataa Hai!
UharoAcha kudanganya watu. Ukweli ni huu hapa:
1. Mbowe walishakosana na Lissu kwa sababu ya Lissu kukosa adabu kwa mwenyekiti wake.
2. Lissu alishamfukuza John Mnyika (Katibu mkuu wa chama chake) kuonekana kwenye kampeni zake kwa kumuhisia kuwa anahujumu kampeni zake.
3. Mbowe anajua fika kiwa Lissu hatashinda urais wa JMT. Kamuweka pale kuleta amsha amsha tu ya chama chake na kujipatia ruzuku.
4. Uwezekano wa Mbowe kupata ubunge wa Hai ni ngumu sana mwaka huu. CCM ilisha jiapisha kulichukua jimbo hilo mwaka huu ili kumshikisha adabu Mbowe. Hivyo Mbowe lazima ajichimbie jimboni humo na kupiga kampeni kwa kijiji ili asije kupata aibu hii ya kutokuwa mbunge na kupoteza hadhi yake ya KUB.
Kiukweli Mbowe alipaswa kuandamana na Tundu Lissu kwenye kampeni za kitaifa za urais.
Utafiti wangu unaonesha kwa sasa Mbowe yuko Machame akifanya kampeni za ubunge kijiji kwa kijiji.
Ndipo sasa nauliza Mbowe kahama mjini na kurudi kijijini Machame?
Maendeleo hayana vyama!
Ccm mahututiMbowe hawezi kupoteza muda anampigania Lisu wakati anajua atatia aibu kwa kupata kura kidogo sana!
Mbowe ameona bora akapambanie ubunge wake kuliko kukesha anapigania Lisu awe rais kitu ambacho hakiwezekani.
Ruzuku ya chadema itapungua sana awamu hii sababu Lisu hana uwezo wa kupata kura na wabunge aliopata Lowasa.
Kwenye huu uchaguzi Mbowe kila akitafakari anaona kapoteza vibaya mno.
Kiufupi huu uchaguzi Mbowe hajaambulia hata sent tano ila zinamtoka tu.
Nakusaidia kidogo, sheria mojawapo mpya ya NEC ni; kila mgombea ubunge anapaswa kupga kampen ktk jimbo lake tu. Kutoka nje ni kwa sababu maalum,Sheria zipi bwashee!
Mbona Kasimu Majaliwa anazunguka Nchi yote, yeye Sheria hazimuhusu?Sheria za NEC zimebadilika bwashee ukiwa mbunge kaa kwenye mipaka yako unless ni ishu inayomhitaji kama mwenyekiti ndio anapaswa kuwepo
Sisi hatujamkataa....mtasubiri sana
Mbowe alipaswa awepo Serengeti na Lisu!
Yupo jimbo la chatoKiukweli Mbowe alipaswa kuandamana na Tundu Lissu kwenye kampeni za kitaifa za urais.
Utafiti wangu unaonesha kwa sasa Mbowe yuko Machame akifanya kampeni za ubunge kijiji kwa kijiji.
Ndipo sasa nauliza Mbowe kahama mjini na kurudi kijijini Machame?
Maendeleo hayana vyama!
Duu ukisikia uongo mtakatifu ndio huu,kampeni ndio kwanza hazijakolea subiri mwezi ujao watu wanakuja na mabomu ya atomic hutamtamani John. Jidanganye wewe na slow slow wakoAcha kudanganya watu. Ukweli ni huu hapa:
1. Mbowe walishakosana na Lissu kwa sababu ya Lissu kukosa adabu kwa mwenyekiti wake.
2. Lissu alishamfukuza John Mnyika (Katibu mkuu wa chama chake) kuonekana kwenye kampeni zake kwa kumuhisia kuwa anahujumu kampeni zake.
3. Mbowe anajua fika kiwa Lissu hatashinda urais wa JMT. Kamuweka pale kuleta amsha amsha tu ya chama chake na kujipatia ruzuku.
4. Uwezekano wa Mbowe kupata ubunge wa Hai ni ngumu sana mwaka huu. CCM ilisha jiapisha kulichukua jimbo hilo mwaka huu ili kumshikisha adabu Mbowe. Hivyo Mbowe lazima ajichimbie jimboni humo na kupiga kampeni kwa kijiji ili asije kupata aibu hii ya kutokuwa mbunge na kupoteza hadhi yake ya KUB.
Acha uongoSheria za NEC zimebadilika bwashee ukiwa mbunge kaa kwenye mipaka yako unless ni ishu inayomhitaji kama mwenyekiti ndio anapaswa kuwepo
Nipe ukweli wakoAcha uongo
Yanakuhusuje? Kule ni kwao na ni mgombea wao, wewe ni Nani Hadi umpangie aandamane na Lissu?
Fanya hivi mtani, mshauri mgombea wako aache kueneza ubaguzi!
Mbona 2015 Mbowe akikuwa bega kwa bega na Lowasa?Chadema wana Team imara na madhubuti ya kampeni. Hakuna Katibu Mkuu hakuna mwenyekiti kwenye Tume ya Kampeni ila CCM wanahemea mashine dadeki.
Huwezi muona Mbowe kwenye Team ya kampeni ya Lissu maana Team imeshajitosheleza
Leo nisikia hòtuba ya mbowe. Imejaaa madini. Top class, worĺd class.Kiukweli Mbowe alipaswa kuandamana na Tundu Lissu kwenye kampeni za kitaifa za Urais.
Utafiti wangu unaonesha kwa sasa Mbowe yuko Machame akifanya kampeni za ubunge kijiji kwa kijiji.
Ndipo sasa nauliza Mbowe kahama mjini na kurudi kijijini Machame?
Maendeleo hayana vyama!h