Mbowe alizaliwa kuja kutetea/kuwasemea watu wengine?

Mbowe alizaliwa kuja kutetea/kuwasemea watu wengine?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,488
Reaction score
14,066
Katika watu ambao ni hasara na hatari kuwatetea basi ni Watanzania, bora hata kutetea mbwa au paka ila sio kutetea Watanzania, ni vigumu sana kutetea watu wasio jitetea na sasa tunaaminishana mtu kama Mbowe alizaliwa ili aje kututetea sisi tukiwa tumetulia tuli tuli majumbani kwetu.

Kuna mtu ameuzimizwa kama Mbowe awamu ya Mwenda zake? Sisi tulimsaidia vipi? Mbowe nani asie jua vile Shamba lake lilivyo katwa katwa na wahuni wakina Sabaya kule Hai? Kuna mtu aliandamana kwa kitendo kile?

Leo hii pimbi tunasismama Ohoo Mbowe kalamaba asalai, ohoo mbowe kapewa pesa, ujinga wa Watanzania ni kuzania wao wamezaliwa watetewe tu na watu wengine, kama Mbowe na wengineo.

Nani alinyanyua mdomo au hata kuandamana wakati Mbowe ana shughulikiwa? Hakuna mjinga hata mmoja aliepaza sauti wala kuandamana, so how come now wajinga wajinga tuanze kusema kalamba asali mara sijui nini?

Kila mtu ajitetee na by the way kutetea Watanzania ni very risk bora kutetea hata mbwa.
 
Katika watu ambao ni hasara na hatari kuwatetea basi ni Watanzania, bora hata kutetea mbwa au paka ila sio kutetea Watanzania, ni vigumu sana kutetea...
Hata kama lugha ni kali mno lakini ndio ukweli.

Ni ujinga mkubwa kusikia mtu ana mkebehi Mbowe, mtu ambaye amepitia magumu na mateso makubwa ikiwa ni pamoja na kuwekwa selo moja mahabusu na watu walio hukumiwa kunyongwa ili kumharibu kisaikolojia lakini akatoka huko ameimarika na mwenye msimamo huohuo alionao.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
FB_IMG_1589397986327.jpg
 
Katika watu ambao ni hasara na hatari kuwatetea basi ni Watanzania, bora hata kutetea mbwa au paka ila sio kutetea Watanzania, ni vigumu sana kutetea watu wasio jitetea na sasa tunaaminishana mtu kama Mbowe alizaliwa ili aje kututetea sisi tukiwa tumetulia tuli tuli majumbani kwetu.

Kuna mtu ameuzimizwa kama Mbowe awamu ya Mwenda zake? Sisi tulimsaidia vipi? Mbowe nani asie jua vile Shamba lake lilivyo katwa katwa na wahuni wakina Sabaya kule Hai? Kuna mtu aliandamana kwa kitendo kile?

Leo hii pimbi tunasismama Ohoo Mbowe kalamaba asalai, ohoo mbowe kapewa pesa, ujinga wa Watanzania ni kuzania wao wamezaliwa watetewe tu na watu wengine, kama Mbowe na wengineo.

Nani alinyanyua mdomo au hata kuandamana wakati Mbowe ana shughulikiwa? Hakuna mjinga hata mmoja aliepaza sauti wala kuandamana, so how come now wajinga wajinga tuanze kusema kalamba asali mara sijui nini?

Kila mtu ajitetee na by the way kutetea Watanzania ni very risk bora kutetea hata mbwa.
Hivi uchaguzi wa mwenyekiti wa hiyo NGO ni lini?
 
Nendeni nanyi mkakae gerezani kwa miezi kadhaa kwanza. Mwacheni kamanda apumzike jamani. Hata kama analamba asali mi nasema sawa tu. Hekaheka zenyewe hizi unapambana huku unaowapambania wala hawajielewi unafikiri mchezo?



IMG-20221214-WA0019.jpg
Screenshot_20221213-052500_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom