masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Nukuu , gazeti la RaiaTanzania , 24/10/2015 pg 4.
Katika kujaribu kudeflect makombora ambayo anayatazmia yatakuja, Mbowe ameanza kutengeneza stori ambazo kimtandao inakuwa rahisi sana kuona uongo wake.
Akiwa anamnadi mgombea wa CHADEMA/UKAWA Mh Lowassa. Mbowe amejigamba mbele ya wananchi huo Karatu, kwao na Dr Slaa kuwa kampuni ya Kimarekani iitwayo Greenberg Quinlan Rosner Research, ilimfanyia tafiti kati ya February na May 2015.
Ati kampuni hiyo iliainisha kuwa mtu wa kumchukua ni Lowassa na si Dr Slaa, na kwamba Lowassa akiwa CCM angmbwaga Dr Slaa.
Eti hili lilihalalisha kumchukua Lowasa baada ya kukatwa na CCM kugombea urais!!!!
Makachero wa Raia Tanzania wakingia kazini.
Nanukuu...:
Katika kujaribu kudeflect makombora ambayo anayatazmia yatakuja, Mbowe ameanza kutengeneza stori ambazo kimtandao inakuwa rahisi sana kuona uongo wake.
Akiwa anamnadi mgombea wa CHADEMA/UKAWA Mh Lowassa. Mbowe amejigamba mbele ya wananchi huo Karatu, kwao na Dr Slaa kuwa kampuni ya Kimarekani iitwayo Greenberg Quinlan Rosner Research, ilimfanyia tafiti kati ya February na May 2015.
Ati kampuni hiyo iliainisha kuwa mtu wa kumchukua ni Lowassa na si Dr Slaa, na kwamba Lowassa akiwa CCM angmbwaga Dr Slaa.
Eti hili lilihalalisha kumchukua Lowasa baada ya kukatwa na CCM kugombea urais!!!!
Makachero wa Raia Tanzania wakingia kazini.
Nanukuu...:
Uongo una tabia moja, si tu unachafua hali ya hewa , bali pia unamchafua Zaidi muongo huyo, na kuthibitisha jinsi tuhuma mbaya zilizopita juu yake , kuwa ni za kweli.​"..uchunguzi wa wiki mbili uliofanywa na RaiaTanzania ulibaini kuwa kampuni hiyo ya Marekani HAIJAWAHI kufanya utafiti wowote nchini mwaka huu wala mwaka wowote"
Alipoulizwa kwa nji ya barua pepe iwapo taasisi hiyo binafsi inayoheshimika kimataifa ilishiriki kwenye utafiti wa Februari hadi Mei mwaka huu Makamu Rais wa Greenberg Quinlan Research Dk. Jeremy Rosner alisema: ..We have never done any research for Chadema or for anyother entity in Tanzania."