Mbowe akacha harambee ya kanisa Moshi!

Ha ha ha ha ha!
Patric Richard pamoja na kuhitaji pesa yake ilitakiwa awaheshim waliomwalika.
pOLENI BANA ILA FM NI MUUNGWANA SANA IKO SIKU NOT LATER ATAKUJA HAPO NA KUMWAGA MPUNGA MAANA ANAJUA MAANA YA MGENI RASMI JIANDAENI TUU SIKU SIO NYINGI ATATIA TIMU HAPO NA KUSAWAZISHA MAMBO HE IS GENTLE WE ALL KNOW
 
Mbowe yuko busy sanaa,ukipewa ubusy wakewewe kichwa chapanz utanok,na kwatanzania hii anaeielewa tanzania vizur ni mbowe na jembe dr.

Acha ushabiki wa kujinga wewe mama, kwani nani hayuko busy? Hata marehemu Matonya alikua busy sana hata muda wa kwenda Idodomya kusamilia familoia hakua nao.
 
Makusanyo ya Club hayakuwa mazuri mkuu.Mvumilie tu halafu siunajua marekebisho ya club imekula pesa mingi.Mpeni muda arudishe pesa yake
 

Mbowe ameshindwa kuja kwenye hii shughuli kwa sababu amekumbuka kuwa kazi hii ya kufanya SIASA katika nyumba za Ibada inamfaa E. LOWASA hivyo muiteni, huyu hata mkimuita leo leo anakuja tu. Ahitaji appointment kwa kazi za harambee nyumba za Ibada.


MIZAMBWA
NABI MTARAJIWA!!!
 
Mleta mada jenga hoja ueleweke, tatizo unataka kulazimisha tukuamini kwa vijisababu vyako uchwara.
 
Mboe bana ... haishi usaniii... chadema changieni ujenzi wa makanisa bana .. sio vizuri mkikimbiaa
 
Hahahaha.....wenye akili tumeshaelewa lengo la kupost hili shuzi!!!

Ha ha ha ha ha ha!
Hongera kwa kugundua lengo la hii post na nitashukuru zaidi kama utamfikishia Ujumbe mumeo kwamba YEYE SI MUUNGWANA..
 
usipaniki, kiongozi kama mbowe hawezi kufanya uhuni atakuwa alipata tatizo lililomfanya ashindwe kwenda, na zaidi atakuwa ametuma mchango wake. Nyumba ya Bwana itajengwa tu mkuu usiwe na mawazo finyu kihivyoo.
 
Unajua hivi sasa nchi ipo kwenye vurugu za kidini kwahiyo mh kakataa kuthibitisha kwamba cdm ni mali ya kanisa.
 
mnamtetea nini kama kakosea lazima akemewe amesumbua watu
 

NAONA KAFANYA VIZURI SANA KUTOKUHUDHURIA; DINI na SIASA ni vitu viwili tofauti VINGETAKIWA VITENGANISHWE zaidi... NADHANI KATIBA MPYA itaongelea SUALA HILO...

Ni Kwanini VIONGOZI wa DINI wanawaita wanasiasa kwenye SHUGHULI ZAO kama VILE - Makanisa na Misikiti ni VOTING BLOCKS by ITSELF??? HUO ni UBAGUZI

Wameanza Miaka ya 90 kufanya HIVYO kabla ya HAPO - MAKANISA na MISIKITI iliweza kujengwa bila kuweka NYUSO za VIONGOZI wa KISIASA...

Yaani, kila SIKU UTAMUONA CAPTAIN LOWASSA kwenye SHEREHE za DINI -- SHAME; SHAME; SHAME...
 
hii imetokea baada ya selasini kuvuliwa uongozi na kanisa au kabla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…