Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Alama na salamu iliyobuniwa na Mwenyekiti wa CHADEMA katika Mkutano wa BAWACHA Millenium Towers imeikamata Tanzania. Alama hiyo ya kuzungusha mikono kama tairi inasindikizwa na salamu isemayo:Mabadiliko....Lowassa!;Lowassa....Mabadiliko!
Sasa alama hiyo na salamu inatumiwa na CHADEMA na UKAWA kwenye mikutano yao ya kampeni nchi nzima. Hakika,Mbowe anastahili sifa kwa ubunifu huu wa alama na salamu.
Sasa alama hiyo na salamu inatumiwa na CHADEMA na UKAWA kwenye mikutano yao ya kampeni nchi nzima. Hakika,Mbowe anastahili sifa kwa ubunifu huu wa alama na salamu.