Mbowe aeleza Sababu

MushyNoel

Senior Member
Jan 13, 2011
104
9
Mbowe wakati anachangia hoja ya kuleta tafsiri ya kifungu na mkakati mzima wa kuwafungisha wapinzani ndoa ya lazima alisema yafuatayo:


Ushirika ni jambo la msingi lakini katika bunge la kumi kuna tofauti za msingi na hivyo

haki ya kila chama haiondolewi kwa dhana za juu juu.Kuchagua mshirika ni haki yetu

na hatuwezi kulazimishwa ndoa,tumeona vijembe vilivyotokea leo tutawezaje kuwa

na kambi moja? Tunahitaji muda zaidi.

Viongozi wa vyama kushirikiana ni vizuri,tupeane muda,maridhiano hayawezi kuwa

ndani ya wiki moja ama mbili.Uamuzi wenu unabomoa,kwani hapa tatizo sio tafsiri

bali dhana ya ushirika tunaoutaka bungeni.Yapo ya msingi lakini si kutulazimisha

kuingia katika jambo ambalo hatujaridhia.
 
imekula kwenu. Niliyaeleza mwanzo haya. you had enough opp. to think and decide. now you will have to. whether by force or by consent.
 
i smell somthing fishy about this issue of kambi ya upinzani kuna virus vinataka kuwekwa humo(yale yale ya NCCR)
 
mbowe yuko sahihi;
1.bunge lenye nyama vingi lina umri wa zaidi ya miaka 15,iweje kanuni hiyo imebadilishwe mwaka huu ambapo chadema inaonekana kuwa na nguvu.
2.kwanini ccm waonekane kuishupalia zaidi kwa kuwasupport cuf na vyama vingine?hapo kuna kitu,hivyo chadema wajihadhari hata kama watashirikiana wajue kwamba watahujumiwa ili kuwanyima nguvu.
 
CUF na CCM ni wamoja CHADEMA wako sahihi iweje kifungu hicho kifanyiwe marekebisho leo wakati bunge la vyama vingi limedumu zaidi ya miaka kumi na sita sasa.Hawakukiona hicho kifungu kabla? Waacheni CHADEMA wafanye wanachotaka kwa RIDHAA yao na RIDHAA ya WATANZANIA milioni mbili na laki nane wenye akili timamu walio wachagua kwa kukubaliana na sera zao.
 
Mi naona ni kama virus ya chuki inajaribu kupenyezwa dhidi ya chadema na cuf na waume zao ccm hawatawaweza maana wasishindane na chadema wakadhani wanawakomoa bali wanazidi kutupandisha jazba wananchi.kiama chao na mbinu zao kinakaribia ngoja masri wamalize.
 
CCM ni majambazi na CUF ni washenzi sana....kwa nini hawabadilishi kanuni zinazohusu mambo ya dowans....upuuzi mtupu siasa za tanzania
 
Back
Top Bottom