Wakuu baada ya kuiona hii thread ilinibidi nimpigie swahiba wangu Mh. Hakimu mmoja Dodoma. Maelezo yake ni kuwa hakimu ana mamlaka ya kumpa dhamana ya masharti mtuhumiwa ama amtake ajidhamini la pia kisheria ana mamlaka ya kuweza kumuachia bila dhamana akijiridhisha upatikanaji wake kuwa hautakuwa wa tabu. 0
My take: Mh Huyu ameongozwa na busara na weledi wa taaluma yake. Wengine kama aliyesimamia kesi ya Mh Lema alishindwa vp kumuamini mbunge wa eneo analofanyia kazi.
Tafakari! Chukua hatua
Kweli tutafika japokuwa nimbali sana. Haya madaraka mtu ukishalewa sijui unakuwa hauoni au hata haufikiri au ndio unatumia "Masaburi" kuifikiria badara ya kutumia akili. Jama hivi sijuzijuzi tu vijana wa UVCCM kina Beno Marisa waliandamana Arusha bila ya kibali na uongozi wa CCM Arusha walitaka wakamatwe kwakuwa hawakuwa na baraka zao wala vibali vyao lakini mkuu wa polisi wa wilaya alishindwa kufanya hivyo?, tena kesho yake kaimu mkuu wa polisi mkoa akasema wamepata taharifa hivyo watawaonya wasirudie tena. Sasa huyu Rema aliyeamua kutoka mahakamani kwa miguu badala ya kutumia ari kwanini akamatwe na asionywe kama kina Beno Marisa, na ninakumbuka hata yule M/kiti wa UVCCM Arusha yule Milya nae alikwenda na kundi la watu pale polisi lkn hajachukuliwa kama kafanya maandamano.
Haya mambo yanasumbua sana
kazi kwelikweli mshikaji jifunze kuandika kwa usahihi manene yafuata: badara ni badala,marisa ni malisa,taharifa ni taarifa rema ni lema
Hakimu Devotha Kamuzora anayesikiliza shauri hilo alikubaliana na maombi ya utetezi na kumpa dhamana Mbowe kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wenye vitambulisho na barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kata ambao walitia saini hati ya dhamana ya Sh. Miliono Tano kila mmoja. Mshtakiwa aliachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti na kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 22, mwaka huu itakapotajwaKatika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana . Ktk hali isiyo ya kawaida mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani. Duh!
MICHUZI siku hizi inakaribia kuwa mishuzi, anyway, ukweli tutaujua tu.
Halafu wewe kweli mbwiga, kitu gani kinakufanya uamini hiyo taarifa ya mbwiga mwenzio huyo? Huoni taarifa yake inajigonga na inamtazamo wa kimagamba?WATU WENGINE BWANA MNAJITUNGIA TU VITU BILA YA KUFANYA UTAFITI NA BOFYA HAPA UPATE UHAKIKA BADALA YA KUKURUPUKA
MICHUZI: MWENYEKITI WA CHADEMA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO JIJINI ARUSHA
Ila wewe unamuogopa sanaUongo mtupu. Mahakama haiongozwi kisiasa kama unavyofikiria. Hakuna anayemuogopa Mbowe.
imeiona eheeeeeeehHalafu wewe kweli mbwiga, kitu gani kinakufanya uamini hiyo taarifa ya mbwiga mwenzio huyo? Huoni taarifa yake inajigonga na inamtazamo wa kimagamba?
Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani.
Duh!
Ha ha ha ha ha ha ha jamaa wanawaogopa CHADEMA ile mbaya....Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani.
Duh!
With due respect, Bigman, utafiti unafanyika kwa kusoma blog ya Michuzi inayofadhiliwa na binti Makamba kule vodacom?WATU WENGINE BWANA MNAJITUNGIA TU VITU BILA YA KUFANYA UTAFITI NA BOFYA HAPA UPATE UHAKIKA BADALA YA KUKURUPUKA
MICHUZI: MWENYEKITI WA CHADEMA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO JIJINI ARUSHA
Nin ini kisichoaminika? amepelekwa mahakamani,baada ya shahuri kusikilizwa alitakiwa apewe mdhamana,hakukuwa na mtu wa kumdhamini nae akawaambia haitaji kudhaminiwa na mtu na hatajidhamini mwenyewe.
Then MAHAKAMA IKAMUACHIA BILA MDHAMANA.mMEELEWA?
Umejuaje ni mwandishi wa habari kaweka sahihi yake.HIYO NI STORY YA MWANDISHI WA HABARI ALIYEKO SITE SIYO MICHUZI BALI AMEIPOST KWA MICHUZI
MICHUZI: MWENYEKITI WA CHADEMA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO JIJINI ARUSHA
WATU WENGINE BWANA MNAJITUNGIA TU VITU BILA YA KUFANYA UTAFITI NA BOFYA HAPA UPATE UHAKIKA BADALA YA KUKURUPUKA
MICHUZI: MWENYEKITI WA CHADEMA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO JIJINI ARUSHA