Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 47
- 65
Leo katika pilikapilika zangu nimekutana na washkaji zangu wameniambia wameswali Eid leo lakini Mufti wa Tanzania Sheikh Mkuu Abubakar Zubeir Bin Ali ametangaza kuwa Eid ni kesho.
Naomba kueleweshwa hili. Inakuaje kuaje hasa wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kueleweshwa hili. Inakuaje kuaje hasa wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app