Mbona Wakuu wenzake hawaendi kumpa Pole Komredi Kinana??

Hashim bin Faustin

Senior Member
Jan 30, 2017
177
216
Ndugu wadau,
Kama mnavyojuwa utamaduni wetu wa TZ pale mmoja wetu anapokuwa mgojwa kunakuwa na utaratibu wa kupeana pole hasa inapokuwa ni kiongozi mkuu kama Comredi Kinana na Vyombo vya Habari huwa vinatupasha Habari wakati wakuu mbali mbali wanapo mpa pole mkuu mwenzao.

Lakini cha kustajabisha toka mkuu wa kaya atuhabarishe kuwa kamtuma Ndugu yetu huyu kwenye matibabu na kufuatiwa na msemaji wa ccm Polepole kuwa wamempa likizo mkuu huyu, lakini cha ajabu hakuna kiongozi hata Mmoja ameenda kumpa mkono wa pole kiongozi huyu.

Je tunapigwa changa la macho ? Je kuna yanayoendelea nyuma ya pazia sisi vipenzi wa Kinana hatujuwi ?? Je viongozi wetu Wakuu ni waongo ??

Kazi yote aliyoifanyia ccm ..! Leo hakuna kiongozi yeyote anayeweza kwenda kumpa pole ?? Tukaonyeshwa kwenye TV akimpa mkono wa pole na tabasamu la matumaini.

Yupo wapi Mzee Mwinyi !?
Yupo wapi Mzee Mkapa !?
Yupo wapi Mzee Kikwete !?

Natamani kulia kwa uchungu , jamani hii siyo TZ tuliyo izoea , inasikitisha....!!??
Ewe Mola nakuomba tuletee Nyerere mwengine wa kututetea sisi waja wako Wanyonge ,
Kwani Mwalimu Nyerere alikuwa kweli Mtetezi wa wanyonge na wala asinge kaa kimya katika jambo kama hili.
 
Yaani wabongo mko addicted sana na umbeya na ubuyu, ukikosekana hata siku mbili MNATAPA TAPA MPAKA HURUMA
 
Ndugu wadau,
Kama mnavyojuwa utamaduni wetu wa TZ pale mmoja wetu anapokuwa mgojwa kunakuwa na utaratibu wa kupeana pole hasa inapokuwa ni kiongozi mkuu kama Comredi Kinana na Vyombo vya Habari huwa vinatupasha Habari wakati wakuu mbali mbali wanapo mpa pole mkuu mwenzao.

Lakini cha kustajabisha toka mkuu wa kaya atuhabarishe kuwa kamtuma Ndugu yetu huyu kwenye matibabu na kufuatiwa na msemaji wa ccm Polepole kuwa wamempa likizo mkuu huyu, lakini cha ajabu hakuna kiongozi hata Mmoja ameenda kumpa mkono wa pole kiongozi huyu.

Je tunapigwa changa la macho ? Je kuna yanayoendelea nyuma ya pazia sisi vipenzi wa Kinana hatujuwi ?? Je viongozi wetu Wakuu ni waongo ??

Kazi yote aliyoifanyia ccm ..! Leo hakuna kiongozi yeyote anayeweza kwenda kumpa pole ?? Tukaonyeshwa kwenye TV akimpa mkono wa pole na tabasamu la matumaini.

Yupo wapi Mzee Mwinyi !?
Yupo wapi Mzee Mkapa !?
Yupo wapi Mzee Kikwete !?

Natamani kulia kwa uchungu , jamani hii siyo TZ tuliyo izoea , inasikitisha....!!??
Ewe Mola nakuomba tuletee Nyerere mwengine wa kututetea sisi waja wako Wanyonge ,
Kwani Mwalimu Nyerere alikuwa kweli Mtetezi wa wanyonge na wala asinge kaa kimya katika jambo kama hili.
HAYAKUHUSU: FANYA YAKO
 
Labda,kwani ulitegemea nini,matusimatusi au..Mie nilidhania wanaomtembelea ni ishu binafsi sana hivyo kujua ni ngumu unless uwe gatekeeper.
Kina kawawa walienda kumtembelea Julius wakati hali yake ilipokuwa mbaya kule england. Na taarifa tulipata "Hali ya baba wa taifa si nzuri"

Samweli Sita alitembelewa hospitali akajuliwa afya yake!!! Na taarifa zikaandikwa!!

Heche anaumwa na ametembelewa na picha tumeziona!!!

Hata mama janeti alitembelewa na Rais alipolazwa muhimbili na picha tuliziona (msiniulize alikuwa anaumwa nini)

NYIE CCM VIIIIPI BWAAANA!!!??
 
Yawezekana wamemtenga. Hata huyo anayesema anaongea nae hatujawahi kumuona akimtembelea
 
Labda,kwani ulitegemea nini,matusimatusi au..Mie nilidhania wanaomtembelea ni ishu binafsi sana hivyo kujua ni ngumu unless uwe gatekeeper.
Kuna picha hivi zipo za Job alivyotembelewa, hata Dingi yake Le Mutuz, Kardinal etc. Zitafute au tuseme gate keepers were there for the needful.
 
Kipara kwasasa anatumia ulinzi toka Kigali maana ameshapoteza ushawishi n vyombo vya ulinzi, kinana aliwekwa detention n Kipara wa chato mwenye asili ya kihutu a.k.a ndugu yake n mtusi kagame
 
Ndugu wadau,
Kama mnavyojuwa utamaduni wetu wa TZ pale mmoja wetu anapokuwa mgojwa kunakuwa na utaratibu wa kupeana pole hasa inapokuwa ni kiongozi mkuu kama Comredi Kinana na Vyombo vya Habari huwa vinatupasha Habari wakati wakuu mbali mbali wanapo mpa pole mkuu mwenzao.

Lakini cha kustajabisha toka mkuu wa kaya atuhabarishe kuwa kamtuma Ndugu yetu huyu kwenye matibabu na kufuatiwa na msemaji wa ccm Polepole kuwa wamempa likizo mkuu huyu, lakini cha ajabu hakuna kiongozi hata Mmoja ameenda kumpa mkono wa pole kiongozi huyu.

Je tunapigwa changa la macho ? Je kuna yanayoendelea nyuma ya pazia sisi vipenzi wa Kinana hatujuwi ?? Je viongozi wetu Wakuu ni waongo ??

Kazi yote aliyoifanyia ccm ..! Leo hakuna kiongozi yeyote anayeweza kwenda kumpa pole ?? Tukaonyeshwa kwenye TV akimpa mkono wa pole na tabasamu la matumaini.

Yupo wapi Mzee Mwinyi !?
Yupo wapi Mzee Mkapa !?
Yupo wapi Mzee Kikwete !?

Natamani kulia kwa uchungu , jamani hii siyo TZ tuliyo izoea , inasikitisha....!!??
Ewe Mola nakuomba tuletee Nyerere mwengine wa kututetea sisi waja wako Wanyonge ,
Kwani Mwalimu Nyerere alikuwa kweli Mtetezi wa wanyonge na wala asinge kaa kimya katika jambo kama hili.
Wanafiki bana utawajua tu hawana tofauti na mamba anayetoa machozi si kwa huruma bali kwa uchungu wa kukosa kitoweo
 
Ndugu wadau,
Kama mnavyojuwa utamaduni wetu wa TZ pale mmoja wetu anapokuwa mgojwa kunakuwa na utaratibu wa kupeana pole hasa inapokuwa ni kiongozi mkuu kama Comredi Kinana na Vyombo vya Habari huwa vinatupasha Habari wakati wakuu mbali mbali wanapo mpa pole mkuu mwenzao.

Lakini cha kustajabisha toka mkuu wa kaya atuhabarishe kuwa kamtuma Ndugu yetu huyu kwenye matibabu na kufuatiwa na msemaji wa ccm Polepole kuwa wamempa likizo mkuu huyu, lakini cha ajabu hakuna kiongozi hata Mmoja ameenda kumpa mkono wa pole kiongozi huyu.

Je tunapigwa changa la macho ? Je kuna yanayoendelea nyuma ya pazia sisi vipenzi wa Kinana hatujuwi ?? Je viongozi wetu Wakuu ni waongo ??

Kazi yote aliyoifanyia ccm ..! Leo hakuna kiongozi yeyote anayeweza kwenda kumpa pole ?? Tukaonyeshwa kwenye TV akimpa mkono wa pole na tabasamu la matumaini.

Yupo wapi Mzee Mwinyi !?
Yupo wapi Mzee Mkapa !?
Yupo wapi Mzee Kikwete !?

Natamani kulia kwa uchungu , jamani hii siyo TZ tuliyo izoea , inasikitisha....!!??
Ewe Mola nakuomba tuletee Nyerere mwengine wa kututetea sisi waja wako Wanyonge ,
Kwani Mwalimu Nyerere alikuwa kweli Mtetezi wa wanyonge na wala asinge kaa kimya katika jambo kama hili.



Unashangaa CCM weye? Wanakupenda na kukutukuza wakitaka kukutumia, wakikuchoka wanakusahau kama bongo fleva zilizopita.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mbona jambo hili jepesi sana ni kwa Kinana kutoka public nakuwanyamazisha watu kama haya ni uongo. Maana huyu ni wakuu wa chama tawala lazima ajulikane kina Sumaye tu wapinzani walitembelewa.
 
Back
Top Bottom