Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Wakuu,
pamoja na admin na moderators, mbona humu ndani sioni Uganda
politics?Nambieni kulikoni labda sielewi!!!
Sisi tunawahusihsa na mada kama hizi:
http://www.eastafricayote.com/showthread.php?t=663
Invisible, naomba lets make these forums regional.
Ni mtazamo tu!
waganda hawaongei kiswahili na wanaoongea kusoma kiswahili wanapata tabu. Na wanaoweza kusoma kuandika ni wachache zaidi. JF imetawaliwa na kiswahili. Mi nashauri kuanzia leo tuwe tunatumia kingereza tu hapa au mnasemaje wana JF?
waganda hawaongei kiswahili na wanaoongea kusoma kiswahili wanapata taabu. Na wanaoweza kusoma kuandika ni wachache zaidi. JF imetawaliwa na kiswahili. Mi nashauri kuanzia leo tuwe tunatumia kingereza tu hapa au mnasemaje wana JF?
Kiswahili kinawapa waganda hisia mbaya kihistoria. Enzi hizo za hayati Idd Amin Dada kiswahili kilikuwa kinaongewa sana jeshini (uganda) kwa wingi, na wakati ule wanajeshi walikuwa wakatili sana, kwa hiyo ukiongea kiswahili watu wanakukimbia na hupati rafiki wa kuongea naye labda awe mjeshi mwenzako. Hii swahili stigma imeendelea mpaka leo. Kwa kuwa tunaingia EAC then Uganda hawana jinsi na ni lazima wajifunze kiswahili otherwise they will be an island in East Africa Coop.
Kiswahili kinawapa waganda hisia mbaya kihistoria. Enzi hizo za hayati Idd Amin Dada kiswahili kilikuwa kinaongewa sana jeshini (uganda) kwa wingi, na wakati ule wanajeshi walikuwa wakatili sana, kwa hiyo ukiongea kiswahili watu wanakukimbia na hupati rafiki wa kuongea naye labda awe mjeshi mwenzako. Hii swahili stigma imeendelea mpaka leo. Kwa kuwa tunaingia EAC then Uganda hawana jinsi na ni lazima wajifunze kiswahili otherwise they will be an island in East Africa Coop.
Sawa kabisa bwana Jafar, on top of that ukiongea kiswahili wanajua lazima wewe ni mwizi
MI NAONA BADALA YA KUWASEMEA HEBU TUWAPE NAFASI WAO WENYEWE WASEME KUHUSU KISWAHILI NA WAO.....!