Tulishuhudia ujenzi wa Reli ya SGR hapa Jijini Mwanza na kuelekea Isaka ukienda kwa kasi, ghafla ujenzi umesimama na hatujui ni kwa sababu gani.
Tunaiomba Mamlaka itueleze nini kimekwamisha ujenzi huu huku tukiaminishwa kuwa Mama amemwaga fedha nyingi au anaupiga mwingi?
Pia soma ~ Serikali yaanza kulipa Tsh. 3.66 Bilioni kwa wananchi 2,471 wa mikoa ya Simiyu, Mwanza, Shinyanga na Tabora wanaopisha SGR
Tunaiomba Mamlaka itueleze nini kimekwamisha ujenzi huu huku tukiaminishwa kuwa Mama amemwaga fedha nyingi au anaupiga mwingi?
Pia soma ~ Serikali yaanza kulipa Tsh. 3.66 Bilioni kwa wananchi 2,471 wa mikoa ya Simiyu, Mwanza, Shinyanga na Tabora wanaopisha SGR