Mbona siku hizi sitii mimba?

Mbona siku hizi sitii mimba?

Bila ya shaka pumbu hazijapona na mbegu za humo ni za low quality hivyo zinaishia kufanya uchafuzi tu Mkuu 😂😂

Sijui ni mkosi au ndio vile nguvu zimeshaanza kuisha, utakuta niko na demu mkali kila nikitamani kumtia mimba ili nipate angalau katoto mwisho wa siku anaishia kuniomba hela ya pedi,

Nawinda winda nimfume ata single mother mwenye makininika yake nimtwishe na mimi lakini bado na yeye ataishia kuniomba hela ya pedi,

Wakuu ebu nipeni mbinu/Maujuzi ya kuwatia mimba hawa viumbe hivi mimi Zero IQ Nakwama wapi?

Au hii freequency ya kuwala wala inapunguza uwezekano wa kumtia mtu mimba?
 
Nipe mbinu sasa nifanyaje ili nimtie mimba ata mmoja au wawili hivi
Siku moja kabla hujaenda kulala na mwanamke usiku lala ukiwa umevaa chupi ya kike na kanga, kesho yake nakuhakikishia ukipiga bao tu mimba tayari. na utaleta mrejesho humu humu jukwaani

Plz Just do it
 
Sijui ni mkosi au ndio vile nguvu zimeshaanza kuisha, utakuta niko na demu mkali kila nikitamani kumtia mimba ili nipate angalau katoto mwisho wa siku anaishia kuniomba hela ya pedi,

Nawinda winda nimfume ata single mother mwenye makininika yake nimtwishe na mimi lakini bado na yeye ataishia kuniomba hela ya pedi,

Wakuu ebu nipeni mbinu/Maujuzi ya kuwatia mimba hawa viumbe hivi mimi Zero IQ Nakwama wapi?

Au hii freequency ya kuwala wala inapunguza uwezekano wa kumtia mtu mimba?
Kumbe unapiga live band. Upungufu wa condom huna habari nao?
 
mwenyekit unamtafuta Zero IQ junior...
Sijui ni mkosi au ndio vile nguvu zimeshaanza kuisha, utakuta niko na demu mkali kila nikitamani kumtia mimba ili nipate angalau katoto mwisho wa siku anaishia kuniomba hela ya pedi,

Nawinda winda nimfume ata single mother mwenye makininika yake nimtwishe na mimi lakini bado na yeye ataishia kuniomba hela ya pedi,

Wakuu ebu nipeni mbinu/Maujuzi ya kuwatia mimba hawa viumbe hivi mimi Zero IQ Nakwama wapi?

Au hii freequency ya kuwala wala inapunguza uwezekano wa kumtia mtu mimba?
 
Navyojua anayepanga mimba itokee sio mwanaume bali mwanamke

Mimi ndio naweza kusema leo naenda kupata mimba ila sio wewe useme unaenda kumpa mimba....ni either apange yeye kupata ama ubake

So kama unataka mtoto mwambie mwanamke wako apange siku
Umemjibu vizury sanaaa
 
Sijui ni mkosi au ndio vile nguvu zimeshaanza kuisha, utakuta niko na demu mkali kila nikitamani kumtia mimba ili nipate angalau katoto mwisho wa siku anaishia kuniomba hela ya pedi,

Nawinda winda nimfume ata single mother mwenye makininika yake nimtwishe na mimi lakini bado na yeye ataishia kuniomba hela ya pedi,

Wakuu ebu nipeni mbinu/Maujuzi ya kuwatia mimba hawa viumbe hivi mimi Zero IQ Nakwama wapi?

Au hii freequency ya kuwala wala inapunguza uwezekano wa kumtia mtu mimba?
Chips mayai
 
Back
Top Bottom