Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Sijui ni mkosi au ndio vile nguvu zimeshaanza kuisha, utakuta niko na demu mkali kila nikitamani kumtia mimba ili nipate angalau katoto mwisho wa siku anaishia kuniomba hela ya pedi,
Nawinda winda nimfume ata single mother mwenye makininika yake nimtwishe na mimi lakini bado na yeye ataishia kuniomba hela ya pedi,
Wakuu ebu nipeni mbinu/Maujuzi ya kuwatia mimba hawa viumbe hivi mimi Zero IQ Nakwama wapi?
Au hii freequency ya kuwala wala inapunguza uwezekano wa kumtia mtu mimba?
Nawinda winda nimfume ata single mother mwenye makininika yake nimtwishe na mimi lakini bado na yeye ataishia kuniomba hela ya pedi,
Wakuu ebu nipeni mbinu/Maujuzi ya kuwatia mimba hawa viumbe hivi mimi Zero IQ Nakwama wapi?
Au hii freequency ya kuwala wala inapunguza uwezekano wa kumtia mtu mimba?