The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Naifatilia kampeni kwa redio naona Kassim Majaliwa anaitwa Mjumbe wa NEC wa CCM.
Lakini kwenye kampeni hizo hizo Magufuli anampigia simu waziri Jaffo na kumpa maagizo.
Sasa kama Magufuli bado Rais na Jaffo bado waziri, Inakuwaje Majaliwa sio Waziri Mkuu?
Kuna shida ya kikatiba?
Lakini kwenye kampeni hizo hizo Magufuli anampigia simu waziri Jaffo na kumpa maagizo.
Sasa kama Magufuli bado Rais na Jaffo bado waziri, Inakuwaje Majaliwa sio Waziri Mkuu?
Kuna shida ya kikatiba?