Mbona Radio Nyingi Hazipatikani?

Mbona Radio Nyingi Hazipatikani?

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,795
Reaction score
9,153
Kuna mdau alianzisha mada kulalamikia Sahara Media. Nimegundu kuwa redio nyingi hasa zinazotangazia kutoka nje ya DSM na baadhi ya ndani hazipatikani.

Je, kuna tatizo gani maana stesheni nyingi hazipatikani?
 
Kuna mdau alianzisha mada kulalamikia Sahara Media. Nimegundu kuwa redio nyingi hasa zinazotangazia kutoka nje ya DSM na baadhi ya ndani hazipatikani.

Je, kuna tatizo gani maana stesheni nyingi hazipatikani?

Nadhani Dialo Kashafulia Sasa.
 
Kuna mdau alianzisha mada kulalamikia Sahara Media. Nimegundu kuwa redio nyingi hasa zinazotangazia kutoka nje ya DSM na baadhi ya ndani hazipatikani.

Je, kuna tatizo gani maana stesheni nyingi hazipatikani?
Radio Imaan Elimu bila mipaka naipata kwa uzuri kabisa
 
Radio imani elimu bila mpaka haipatikani hapa jijini arusha toka jana.....!!!
 
RFA ni makelele(noise) tupu nimekosa kipindi cha Je huu ni uungwana na Sitosahau inaonekana Repeater zimezimwa mawimbi hayafiki kabisa.
 
TCRA wamefanya mabadiliko kadhaaa....hii nimeipata ITV pale walipokuwa wanautarifu umma juu ya mabadiliko kadhaa ya frequency zao za radio one/capital/east africa kwa baadhi ya mikoa ikiwamo kasoro bahari
 
RFA ni makelele(noise) tupu nimekosa kipindi cha Je huu ni uungwana na Sitosahau inaonekana Repeater zimezimwa mawimbi hayafiki kabisa.
 
TCRA wamefanya mabadiliko kadhaaa....hii nimeipata ITV pale walipokuwa wanautarifu umma juu ya mabadiliko kadhaa ya frequency zao za radio one/capital/east africa kwa baadhi ya mikoa ikiwamo kasoro bahari

Weka frequency za RFA zilizobadilika.
 
Jana nilikuwa nataka kusikiliza Reggae time Kiss Fm nashangaa frequency za Kiss 89.3 zimekuwa Free Africa...
 
RFA 89.3MHz Dar es Salaam, kiss FM 98.9MHz, hapa wame exchange ilipokua kiss FM wameweka RFA, nadhani wameoona RFA isikilizwe na watu wengi kuliko kiss FM maana radio nyingi za kwenye magari hazivuki 90.0MHz.
 
TCRA wamefanya mabadiliko kadhaaa....hii nimeipata ITV pale walipokuwa wanautarifu umma juu ya mabadiliko kadhaa ya frequency zao za radio one/capital/east africa kwa baadhi ya mikoa ikiwamo kasoro bahari
Mkuu, mbona pana njia nyingi za kupasha habari? Mie sijasikia tangazo la TCRA kuhusiana na mabadiliko ya masafa ya radio hasa RFA nchi nzima.
 
TCRA wamefanya mabadiliko kadhaaa....hii nimeipata ITV pale walipokuwa wanautarifu umma juu ya mabadiliko kadhaa ya frequency zao za radio one/capital/east africa kwa baadhi ya mikoa ikiwamo kasoro bahari

Ni kweli kabisa mkuu mcubic, masafa yamebadilishwa kinyemela na TCRA bila kutoa taarifa yoyote kwa umma. hapa nilipo nashangaa kusikia east africa radio ikisikikia kwenye masafa ya redio wani. kama ulikuwa umesave redio kwenye simu au kompiuta, fanya autosearch ubadilishe frequencies.
 
Last edited by a moderator:
RFA 89.3MHz Dar es Salaam, kiss FM 98.9MHz, hapa wame exchange ilipokua kiss FM wameweka RFA, nadhani wameoona RFA isikilizwe na watu wengi kuliko kiss FM maana radio nyingi za kwenye magari hazivuki 90.0MHz.

sijui kwanini hawa wapuuzi TCRA wanazifanyia mabadiliko ya masafa kila siku!
 
Last edited by a moderator:
tcra wamebadiri masafa fanya tunening upya

Mbona haya masafa TCRA wanayabadilisha kama chupi? Nakumbuka haujaisha mwaka tangu masafa haya yabadilishwe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom