Jana katika gazeti la Uhuru, kulikuwa na habari inyohusu kwa namana fulani familia ya karibu nami !(si siasa) Nilipewa taarifa hiyo baada ya kufika ofisini asubuhi !
Kwa mara ya kwanza baada ya miakatakribani 15 nikalazimika nilinunue!
Nikamtuma msaidizi wa ofisi !
Yule binti aliporudina kunikabidhihilo gzeti alinihoji ...kuwa mbona alipokuwa ananunua gazeti hilo watu walimzomeana kumshangaa sana ! linanini ,kwa nini halipendwi hivo....weweunalipendea nini!
....nikamwambaia hili gazetilinamilikiwa na Chama kinachokufaanya wewe uishi maisha magumu ! akaendeleakushangaa ...iweje mim inalisoma! nikamwambia kuna habari ya kifamila sina ujanja!
Sasa ninazidi kuamini maneno ya Prof.KABUDI !NAWAOGOPA SANA WATANGANYIKA!
Kwa mara ya kwanza baada ya miakatakribani 15 nikalazimika nilinunue!
Nikamtuma msaidizi wa ofisi !
Yule binti aliporudina kunikabidhihilo gzeti alinihoji ...kuwa mbona alipokuwa ananunua gazeti hilo watu walimzomeana kumshangaa sana ! linanini ,kwa nini halipendwi hivo....weweunalipendea nini!
....nikamwambaia hili gazetilinamilikiwa na Chama kinachokufaanya wewe uishi maisha magumu ! akaendeleakushangaa ...iweje mim inalisoma! nikamwambia kuna habari ya kifamila sina ujanja!
Sasa ninazidi kuamini maneno ya Prof.KABUDI !NAWAOGOPA SANA WATANGANYIKA!