mbona mi Sipati

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
daah! Mpaka nimechoka yan nimetafuta wa kunliwaza na kunituliza moyo nimekosa nifanyeje!
 
Kunywa maji ya baridi yatakuliwaza na kukutuliza moyo.
 
hiyo thread yako ulivyoiandika tu inaonesha u r not serious. tuheshimu jukwaa jamani.
 
hiyo thread yako ulivyoiandika tu inaonesha u r not serious. tuheshimu jukwaa jamani.

jaman jaman hivi kweli kuna watu hawapendi maendeleo yangu umenijaji vip ukajua sipo serious?
 
jamaa ingia jukwaa la mwisho kwa kaka kimbweka halafu nyetuka fasta utafarijika hakuna gharama yoyote juu ya hilo..see you later..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…