R RICHMAHOO Member Joined Jan 15, 2011 Posts 49 Reaction score 14 Mar 8, 2011 #1 Washikaji wapi makamba mbona asikiki? au kamuachia mwanae januari makamba aropoke kwa niaba yake. wana jf naomba mtujuze alipo huyu popo bawa.
Washikaji wapi makamba mbona asikiki? au kamuachia mwanae januari makamba aropoke kwa niaba yake. wana jf naomba mtujuze alipo huyu popo bawa.
figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 26,679 Reaction score 59,175 Mar 8, 2011 #2 inaonekana kapewa onyo asiwe anaongea ovyo ovyo na muda wake unaisha so anajifanya mlokole ili aongezewe ulaji.
inaonekana kapewa onyo asiwe anaongea ovyo ovyo na muda wake unaisha so anajifanya mlokole ili aongezewe ulaji.
R RICHMAHOO Member Joined Jan 15, 2011 Posts 49 Reaction score 14 Mar 8, 2011 Thread starter #3 nimeshangaa sana kuona katibu mkuu wa ccm kukaa kimya kihivyo hivi amzima kweli au anaumwa?
malkiory JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 270 Reaction score 25 Mar 8, 2011 #4 Makamba amechuja mno jamani!
Kichwa Ngumu JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 1,726 Reaction score 314 Mar 8, 2011 #6 Kunatetesi wanataka kumtosa u KM wa chichiem
samora10 JF-Expert Member Joined Jul 21, 2010 Posts 7,607 Reaction score 4,817 Mar 8, 2011 #7 kashaharibu vya kutosha
NICK2275 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 3,930 Reaction score 924 Mar 8, 2011 #8 hana hoja-hana jipya-ngoja azidi kukaa kimya