only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Barua ya wazi kwa wana JF wenzangu.................
Natumai ni wazima....Nimekuwa nikifatilia haya malumbano yanayoendelea katika hiki chama kilichojipa utawala yaani CCM...Kwa hakika kama ni mtanzania uliyemzalendo unaweza hata kujinyonga...kila kukicha mara
Natumai ni wazima....Nimekuwa nikifatilia haya malumbano yanayoendelea katika hiki chama kilichojipa utawala yaani CCM...Kwa hakika kama ni mtanzania uliyemzalendo unaweza hata kujinyonga...kila kukicha mara
- Shigela v/s Sumaye
- Makamba v/s Sumaye
- Kikwete v/s Magufuli
- Sitta v/s vijana Tabora
- Pinda v/s Magufuli nk
- Hawa watu wanapata wapi muda wa kulumbana,na je muda wa kutimiza ahadi zao watapata?
- Tutaendelea mpaka lini kushuhudia malumbano haya yasiyo na tija kwa taifa zaidi ya kunufaisha watu wachache tena mafisadi?
- Watanzania tuchukue hatua gani iwapo hii mipasho itaendelea?