GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Sijui ni mimi tu ndiyo simsikii!
Alipokuwa Waziri wa Ardhi, ilikuwa ni nadra sana wiki kupita bila habari zake kutamba mtandaoni. Aliimudu sana hiyo Wizara.
Kwa kadiri ya uelewa wangu, yeye ndiye Waziri bora kuwahi kuiongoza hiyo Wizara. Nashangaa kwa nini aliondolewa!
Huu ukimya ni wa kawaida au mimi ndiyo sibahatiki kukutana na habari zake?
Alipokuwa Waziri wa Ardhi, ilikuwa ni nadra sana wiki kupita bila habari zake kutamba mtandaoni. Aliimudu sana hiyo Wizara.
Kwa kadiri ya uelewa wangu, yeye ndiye Waziri bora kuwahi kuiongoza hiyo Wizara. Nashangaa kwa nini aliondolewa!
Huu ukimya ni wa kawaida au mimi ndiyo sibahatiki kukutana na habari zake?