Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Hahahaha umenikumbusha mbali sana tulikuwa na shamba pale Kiwangwa na jirani yetu alikuwa mama wa kimanyema c mnawajua wanawake wa kabila hili walivyokuwa na migongo mikubwa bac wasukuma ndio waliokuwa wakitoa huduma ya kulima mashamba basi huyu mama alikuwa anakaa mbele yao ktk kiti na kuwaonesha K na kuwaambia wa kwanza kufika hapa nilipokaa nampa mambo,bac walikuwa wakilima kwa juhudi ili mradi wawahi kumchakachua huyu bibie.Inawezekana na yeye aliwapenda kwenye majamboz kama unavyowapenda ww Shantel,samahani naomba kuuliza wewe chotara?Arusha wanaume wengi wazuri utafikiri black americans ila meno sasa lol, me i go for Mwanza wasukuma wazuri jamani wamepanda kwa juu wana mamashine ya kufa mtu wanapenda mpaka utadhani zuzu, ila wakipata nyumba ndogo utatamani kukimbia hawakumbuki tena nyumbani,
kwa kifupi hawawezi kugawanya penzi wakifall kwa mwingine mapenzi yanahamia hukohuko we mama wa home utajijua. anaebisha aje na vidhibiti
sura/masharobaro au mnamaanisha nini? Mashoga wapaka poda? Wenye pesa ,, wasomi , wachapa kazi, wakulima( wasukuma) or wapiga gahawa ? Au wala tigo?
Hahahaha umenikumbusha mbali sana tulikuwa na shamba pale Kiwangwa na jirani yetu alikuwa mama wa kimanyema c mnawajua wanawake wa kabila hili walivyokuwa na migongo mikubwa bac wasukuma ndio waliokuwa wakitoa huduma ya kulima mashamba basi huyu mama alikuwa anakaa mbele yao ktk kiti na kuwaonesha K na kuwaambia wa kwanza kufika hapa nilipokaa nampa mambo,bac walikuwa wakilima kwa juhudi ili mradi wawahi kumchakachua huyu bibie.Inawezekana na yeye aliwapenda kwenye majamboz kama unavyowapenda ww Shantel,samahani naomba kuuliza wewe chotara?
Wanaume wazuri duh!!!!Kuna thread inauliza mkoa wenye wasichana/wanawake wazuri. Mbona watu hawaulizi mkoa wenye wanaume wazuri?? Kwa swali hili, mimi naanza kujibu ni MKOA WA MARA.
sura/masharobaro au mnamaanisha nini? Mashoga wapaka poda? Wenye pesa ,, wasomi , wachapa kazi, wakulima( wasukuma) or wapiga gahawa ? Au wala tigo?
Mkoa wa Tanga
wenyewe si mnaniona hapo nlivo sharo baroooo,teh teh,mzee wa katavi anajua,kona kali,husninyo,bi mkubwa na wengine kibao wanakubali mzik
Wewe Mwanaume hapimiwi uzuri bana..................uwezo wa kukamua!
Mbona watu hawawaongelei wanyakyusa kulikoni?