Hiyo bold na wanyalu au vipi!sura/masharobaro au mnamaanisha nini? Mashoga wapaka poda? Wenye pesa ,, wasomi , wachapa kazi, wakulima( wasukuma) or wapiga gahawa ? Au wala tigo?
MWANAUME MZURI NI...,
1-ANAYEJUA KUTUMIA VIZURI MASHINE YAKE, ( manake kila mwanaume anayo ila tatizo ni matumizi yake)
2- ANAYEJUA KUTAFUTA PESA,
3-ANAYEJITAMBUA *****
4-ANAYEJUA WAJIBU WAKE KWA MWANAMKE NA JAMII YAKE.
5- ANAYEAMINI KAMA KUNA MUNGU
HAIJALISHI KAMA NI MFUPI AU MREFU, MWEUPE/MWEUSI, AU ANATOKA MKOA GANI.
Wanaume wazuri bado hawajazaliwa.
Na huyo uliyekuwa nae je? wapo mwenzangu tunaishi nao humuhumu
Wanaume wazuri bado hawajazaliwa.
silikubali hili.Wanaume wazuri bado hawajazaliwa.
mkoa niliiolewa (MWANZA) ndio nadhani una wanaume wazuri ukifatiwa na ule niliotoka (KLM)
duh!!hapo kwenye red sasaaa ndo balaa..sio kweli wote meno ya meozaaArusha wanaume wengi wazuri utafikiri black americans ila meno sasa lol, me i go for Mwanza wasukuma wazuri jamani wamepanda kwa juu wana mamashine ya kufa mtu wanapenda mpaka utadhani zuzu, ila wakipata nyumba ndogo utatamani kukimbia hawakumbuki tena nyumbani,
kwa kifupi hawawezi kugawanya penzi wakifall kwa mwingine mapenzi yanahamia hukohuko we mama wa home utajijua. anaebisha aje na vidhibiti
Kwa maoni yaliyotolewa basi WASUKUMA wanongoza Tz bara kuwa ni wanaume wazuri kwa sifa ya kujua kupenda na kuwa na mashine yenye ubora unaopendwa na dada zetu.....
Kipimo cha mwanaume ni urijali.
mwanaume uzuri wa sura!!umbo!?au ni uzuri gani unaongelewa hapa?uzuri is a broad term
wakuu uzuri wa mwanaume ni zaidi ya muonekano wa nje,kwa mwanamke inaweza kuwa sawa maana ni mapambo kwa uhalisia wake
Kila kitu yaani full pakej inapatikana kwake, haya mama tuambie wewe wapi unafagilia?