Nimekaa tangu ijumaa labda nitapokea kizinga cha siku kuu kutoka kwa waubani but naona kimya mpaka leo,najikaza kiume lakini roho inaniuma kwa nini asiniombe hela ya siku kuu? kuna namna hapa sio bure.
Ukisikia ulofa ndio huo ww badala ya kujiongeza unangoja uombwe utangoja sana wenzako wanafungua walet bila hta kuulizwa utalia