Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Kitendo cha kumgalagaza Mwigulu na matisho ya Mwenyekiti wao kwa Wabunge na hatua anazotaka zichukuliwe kwa walo fanya ufisadi wa Lugumi, magari ya Polisi, NIDA nk nk mbona imeleta taharuki sio mitandaoni tuu hata mitaani kwa wapiga debe wa CCM kutulia kama wana malaria?

Pia kitendo cha kada wao Zakaria kuwatwanga risasi wasiojulikana kisha wakajulikana na kuleta taharuki kati ya uongozi wa CCM mkoa wa Mara na Tarime huku wakibishana na viongozi wa serikali kimeonyesha kufanya utetezi maandazi kwisha nguvu?

Au ndio zile njozi za kuwa chinja chinja wa hili dubwasha atatokea ndani mwao ili wa nje wasipate dhambi ya kuua chama hiki kilichokuwa cha ukombozi?
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli wa nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli ya nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
TL ni kaka wa Taifa
 
Hii ndio sababu kubwa iliomfanya awaite wazee wastaafu pale magogoni, ili wazee wamsaide kulirudisha kwenye chupa hili zimwi lenye alilolitoa yeye mwenyewe kwa kufunua kizibo.... tehteehhh
Kwa vile ilihisiwa kuwa kuna watakao mwambia ukweli TBC1 imezuia matangazo live kwa jambo hilo muhimu lakini ingekuwa kapisha au kupokea ndege na kudhuru bandari ni live mpaka kuchee.
Hivi USANII HUU MPAKA LINI?
 
Kitendo cha kumgalagaza Mwigulu na matisho ya Mwenyekiti wao kwa Wabunge na hatua anazotaka zichukuliwe kwa walo fanya ufisadi wa Lugumi, magari ya Polisi, NIDA nk nk mbona imeleta taharuki sio mitandaoni tuu hata mitaani kwa wapiga debe wa CCM kutulia kama wana malaria?

Pia kitendo cha kada wao Zakaria kuwatwanga risasi wasiojulikana kisha wakajulikana na kuleta taharuki kati ya uongozi wa CCM mkoa wa Mara na Tarime huku wakibishana na viongozi wa serikali kimeonyesha kufanya utetezi maandazi kwisha nguvu?

Au ndio zile njozi za kuwa chinja chinja wa hili dubwasha atatokea ndani mwao ili wa nje wasipate dhambi ya kuua chama hiki kilichokuwa cha ukombozi?
Kumbuka kuwa HATA TUKINYAMAZA....MAWE YATAONGEA
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli ya nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
Huyu mtu amebarikiwa kipaji
FB_IMG_1530609804069.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom