Mbona China haiwekezi kwenye umeme?

Mbona China haiwekezi kwenye umeme?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
Umeme ni muhimu kila mtu anafahamu ila nasangaa kwa nini China wanapewa uwekezaji pahala pengine na kuacha kuwekeza/kuisaidia miundo mbinu ya TANESCO. Sijui katika hii miradi 16 iliyowekwa saini hivi karibuni na marais wetu kama hilo limo maana tunaambiwa tu kimoja cha ujenzi wa bandari kubwa hapo Bagamoyo. Kama hakuna ndio kusema matatizo ya umeme nchini mwetu ni ya MEZANI kweli kama waziri na naibu wake wa nishiti walivotueleza.
 
Kuvuna madini ya chuma pale Liganga lazima uwe na umeme wa kutosha ambao watatumia makaa ya mawe pale Mchuchuma.Na ziada kuitupa kwa gridi ya TAIFA
Hope tuko pamoja pia cheki apa chini
"The investment involves construction of the Mchuchuma integrated coal mine, a 600-megawatt (MW) thermal power station and the Liganga iron ore mine in southern Tanzania. Dubbed the single-biggest investment deal in east Africa, Sichuan Hongda will own 80 percent of the joint venture project, with the remaining stake held by Tanzania's state-run National Development Corporation (NDC)."
 
Kuvuna madini ya chuma pale Liganga lazima uwe na umeme wa kutosha ambao watatumia makaa ya mawe pale Mchuchuma.Na ziada kuitupa kwa gridi ya TAIFA
Hope tuko pamoja pia cheki apa chini
"The investment involves construction of the Mchuchuma integrated coal mine, a 600-megawatt (MW) thermal power station and the Liganga iron ore mine in southern Tanzania. Dubbed the single-biggest investment deal in east Africa, Sichuan Hongda will own 80 percent of the joint venture project, with the remaining stake held by Tanzania's state-run National Development Corporation (NDC)."
Sawa mkuu, nashukuru kwa taarifa.
 
Yaani waafrika sijui nani alituroga aisee!Mijitu myeusi,roho nyeusi akili nyeusi pia! Hivi unajua kuwa dunia nzima tangu ianze Afrika ndiyo mara zote imekuwa inaongoza kuwa na resources nyingi lakini cha kusikitisha ndiyo bara masikini kuliko hata sayari ya Mars wanakoishi wadudu! Shame on us, ptuuuuuuu!!!
 
Washatuona wazugaji when it comes to umeme. kila waziri aliyewahi pita wizara hii neno hili ameshawahi kulitamka....''mgao wa umeme utakuwa historia''..... Labda wao watupe umeme na sisi tuwape nchi kama tulivyomnusuru kunyongwa mtoto wa baba mkubwa
 
Yaani waafrika sijui nani alituroga aisee!Mijitu myeusi,roho nyeusi akili nyeusi pia! Hivi unajua kuwa dunia nzima tangu ianze Afrika ndiyo mara zote imekuwa inaongoza kuwa na resources nyingi lakini cha kusikitisha ndiyo bara masikini kuliko hata sayari ya Mars wanakoishi wadudu! Shame on us, ptuuuuuuu!!!
Sawa sawa na Mmaasai ambae anaona ufahari akipigwa picha na wanyama kama simba anafurahi mno wakati aliyempiga picha anapata pesa nyingi huko Ulaya.
 
Washatuona wazugaji when it comes to umeme. kila waziri aliyewahi pita wizara hii neno hili ameshawahi kulitamka....''mgao wa umeme utakuwa historia''..... Labda wao watupe umeme na sisi tuwape nchi kama tulivyomnusuru kunyongwa mtoto wa baba mkubwa
Yaonekana umeme wetu ni mradi tu.
 
Yaani waafrika sijui nani alituroga aisee!Mijitu myeusi,roho nyeusi akili nyeusi pia! Hivi unajua kuwa dunia nzima tangu ianze Afrika ndiyo mara zote imekuwa inaongoza kuwa na resources nyingi lakini cha kusikitisha ndiyo bara masikini kuliko hata sayari ya Mars wanakoishi wadudu! Shame on us, ptuuuuuuu!!!

sasa unamdhikaki nani wakati we mwenye ni blackman? Labda we ndiyo mlozi! Nani alikwambia mars kuna wadudu?
 
sasa unamdhikaki nani wakati we mwenye ni blackman? Labda we ndiyo mlozi! Nani alikwambia mars kuna wadudu?

Wala sina lengo la kudhihaki mtu, najaribu kutoa mawazo yangu juu ya mwenendo wa bara la afrika na waafrika wenyewe nikiwepo mimi pia. Hivi nikuulize kwanini Afrika ni masikini wa kiuchumi halafu tajiri kupita kiasi wa rasilimali unaweza kunipa jibu gani kama siyo akili zetu ni zero?
 
hilo nalo neno mkuu, wawekeze kwenye umeme mgao uishe ili uzalishaji uongezeke!.
 
Back
Top Bottom