mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Eti wapendwa wangu Chadema, siku izi naona mpo kimya sana juu ya swala la tume huru. Mana naona muda unazidi kwenda. Kama kweli hawana iman na tume huru waanze kushuhulika nayo sasa hivi wasisubiri mpaka uchaguzi ufanyike ndio wajitokeze hadharan na kusema tume haikuwa huru; watu tutaelewa kuwa maoni ya tume huru yalitolea kama silaha itakayotumika baada ya uchaguzi kuwa haukua huru na kuwa source ya vurugu. Nawakanya Chadema msijaribu kufanya hivyo.
Kama kweli tume mnaiona siyo huru basi hakikisheni mnagomea uchaguzi mpaka pale serekali itakapo idhinisha tume huru. Onyo kwenu pia Chadema; mwenendo wenu na Wabunge wenu wanavyowatupieni lawama na wengine mpaka kufikia hatua ya kuhama, hii inaweza ikawa mbaya kwenu pale tu mtaposusa uchaguzi halafu vyama vingine vikaingia kwenye uchaguzi.
Ila mkisubiri tume, muanze kuidai baada ya uchaguzi au kwenye kampeni nitashauri mpigwe maana mmekaa miaka zaidi ya 50 mkiwa kama wapinzani hata kama sio Chadema lakini mliridhika na tume, hivyo tume ni huru na salama mkitaka tume ibadilishwe, basi itabidi muombe na katiba ifanyiwe marekebisho kwani yenyewe ndio muhimil wa kila kitu.
Chadema kama kweli tume sio huru, anzeni kudai sasa hivi japo mmesha kaa miaka mingi na kwa baraka za tume hio mmeendelea kua wabunge msije mkaenda kwenye majukwaa ya kampeni na kuanza kuongelea tume huru mtakuwa mnawachanganya wananchi sababu wata jiuliza huu ni muda wa kampeni mwezi fulani tunaenda kupiga kura viongozi wetu wanatuambia tume sio huru. Tufanyeje, embu Chadema mtawajibu wafanyeje kwa muda huo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli tume mnaiona siyo huru basi hakikisheni mnagomea uchaguzi mpaka pale serekali itakapo idhinisha tume huru. Onyo kwenu pia Chadema; mwenendo wenu na Wabunge wenu wanavyowatupieni lawama na wengine mpaka kufikia hatua ya kuhama, hii inaweza ikawa mbaya kwenu pale tu mtaposusa uchaguzi halafu vyama vingine vikaingia kwenye uchaguzi.
Ila mkisubiri tume, muanze kuidai baada ya uchaguzi au kwenye kampeni nitashauri mpigwe maana mmekaa miaka zaidi ya 50 mkiwa kama wapinzani hata kama sio Chadema lakini mliridhika na tume, hivyo tume ni huru na salama mkitaka tume ibadilishwe, basi itabidi muombe na katiba ifanyiwe marekebisho kwani yenyewe ndio muhimil wa kila kitu.
Chadema kama kweli tume sio huru, anzeni kudai sasa hivi japo mmesha kaa miaka mingi na kwa baraka za tume hio mmeendelea kua wabunge msije mkaenda kwenye majukwaa ya kampeni na kuanza kuongelea tume huru mtakuwa mnawachanganya wananchi sababu wata jiuliza huu ni muda wa kampeni mwezi fulani tunaenda kupiga kura viongozi wetu wanatuambia tume sio huru. Tufanyeje, embu Chadema mtawajibu wafanyeje kwa muda huo?
Sent using Jamii Forums mobile app