Mbolea ya super Gro na maajabu yake

Mbolea ya super Gro na maajabu yake

prosper cliff

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
663
Reaction score
706
Wapendwa naipenda sana mbolea ya super gro na kama na we mwenzangu una mbolea nzuri tujuze katka uzii huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20170830_113435.jpeg
    IMG_20170830_113435.jpeg
    79.8 KB · Views: 237
  • IMG_20170830_113435.jpeg
    IMG_20170830_113435.jpeg
    79.8 KB · Views: 190
Inakupa matokeo chanya mkuu? Au unaipenda kwa sababu zipi

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Bwaa ptosper cliff,hebu tuambie munaiuza shilingi ngapi hiyo mbolea yenu,na tunaweza kuipata wapi
 
Bwana ptosper cliff,hebu tuambie munaiuza shilingi ngapi hiyo mbolea yenu,na tunaweza kuipata wapi
 
Prosper jibu maswali ya wana JF. Usikae kimya!!

Na mimi nina ifuatilia kwa karibu hiyo Super Gro.
 
Back
Top Bottom