taikuny
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,206
- 717
Wakulima na wafugaji
Nafanya jaribio la kutengeza mbolea asili au mboji. Kwa kutumia majani niliyojaza apo kwenye karo
Nitaweka
Mbolea ya ng'ommbe au mbolea ya mbuzi /kuku/bguruwe/popo n.k
Nitaweka
Majani mabichi ya miti kama milonge mrusina mikunde poli
Nitaweka
Udongo mwesi
Mwisho na fukia kwa mpangilia na kuiacha kwa siku 30 nataraji kupata tan 10 /15 za mbolea ya mboji inafaa kwa mazao yote
Karibu shamba
Nafanya jaribio la kutengeza mbolea asili au mboji. Kwa kutumia majani niliyojaza apo kwenye karo
Nitaweka
Mbolea ya ng'ommbe au mbolea ya mbuzi /kuku/bguruwe/popo n.k
Nitaweka
Majani mabichi ya miti kama milonge mrusina mikunde poli
Nitaweka
Udongo mwesi
Mwisho na fukia kwa mpangilia na kuiacha kwa siku 30 nataraji kupata tan 10 /15 za mbolea ya mboji inafaa kwa mazao yote
Karibu shamba
safi mkuu nashukuru. Apo niliagiza vijana wajaze manyasi kama miez 2 nyuma lakin nishaondoa chupa zote na nailon jaribio lakwanza nilifanya na kutumia ilikua poa sana