Mbinu zile zile na watu ni wale wale!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Rejea Zito Kabwe kwamba kajificha kwa kuwa Askari wetu wanamsaka akaja kuibukia kwa Wazungu Ulaya anapiga selfie, karudi TZ kagoma kutoka Bungeni eti anaogoga kukamatwa na Askari wetu, Tundu Lisu naye Serikali yetu imemuuwa Saanane na kumzika Ruvu akatoa mpaka Simu aliyodai ni uthibitisho mpaka leo hii kimya hapo hapo ndiyo Kiongozi wa Bodi ya Wanasheria!

Mambo ni yale yale, mbinu za kijinga zile zile, so sad, stupid people, really stupid badala ya kujenga Chama na nchi wamekalia Uongo, Fitina na Dhuluma haya mambo hayajawahi kushinda popote pale Dunia hii, kwani mwisho wa siku Wananchi watajiuliza Je wa unafuu wa maisha au laa? Sasa hivi vijiji vinawekewa Umeme, kero ya foleni inashughulikiwa, kero ya Maji inapungua haya ndiyo mambo yatakayoamua na siyo Uongo, Unafiki na Dhuluma ya akina Zito Kabwe, Tundu, Nape & Co. sana sana huwarudia wao wenyewe ...
 
Unachosema nikweli kabisa, wanachukua waigizaji wa bongo movie na akina hamorapa wanatengeneza picha ya kijinga eti ya kutishiwa bastola, shenzi kabisa.

Wananchi wanataka maji umeme barabara madawati zahanati, sio maigizo ya protea hotel. Shenzi zenu.
 
Tumekusoma Bashite! Ila jaribu ata kuhudhuria tuition wakufundishe namna nzuri zaidi ya kuandika!
Uharo wa usiku!
 
Leo Nape amekua mbaya kwenu?? Kwahyo kilichofanywa na mkuu wa mkoa kwako ni sahihi?? We nae lipo Mungu atakalokupa
 
Na yule ambae anacheza movie nakupenda sana scene ya bandari unamzungumziaje?
Mwambieni abadilishe location pale watu tumepachoka na wameshastukia kama unabisha angalia magazeti ya leo hawajalipa uzito wake aliotarajia
 
Back
Top Bottom