Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Nimeona kwamba ni vizuri tukiziweka wazi mbinu zinazitumika kuiba kura ili wanauhusika waweze kuudhibiti uizi huu ambao unawaza kutuvunjia amani yetu tuliyonayo:
1 Kupiga kura zidi ya mara moja: Bandika wino usiotoka (Ukitoka je)
2 Gawa shahada kwa wasio husika: Mawakala kuwagundua kwa sura
3 Kugawa karatasi zaidi ya moja kwa mpiga kura: Wakala kuwa makini
4 Kutumbukiza kura katika box kabla ya kufunga Kufunga kituo: Wakala akihongwa anakubali. (Sijui hapa watafanya nini)
5 Mpiga kura anaweza kuingia na karatasi nyingi za kura alizopigia nyumbani. Hii hutumika sana kama masanduku ya kura yakiwekwa kwenye vizimba. (Tunazibiti vipi)
5 Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi (Tafanyeje sasa)
6 Kutumia nguvu kuwatisha mawakala, kuchakachua (Nini kifanyike), hii inaweza ikawa katika vituo vya kupigia kura, wakati wa kusafirisha masanduku na wakati wa majumuisho. (Hapa naona ipo kazi, labda mawakala wa nguvu wasioogopa MG)
7 Kuwahi sana kupiga kura na kuwaacha mawakala peke yao katika vituo (hapa inakuwaje?)
8 Segerea style, kukimbia na masanduku ya kura. Hapa panahitajika escot ya nguvu sana, bila hivyo sijui. Bodaboda wanaweza hii kazi.
9 Je Magari ya Jeshi yanaweza kutumika, Basi tume ipate ma MP ili kushirikiana na wananchi wenye wasiwasi.
10 kuanzisha vurugu kituo cha kupigia kura hasa mida ya jioni. (Kuabakia katia vituo m 103 hadi kura zinapoondoka)
11 Karatasi ya kupigia kura huchanwa kwenye kitabu: Kwa maana hiyo idadi ya kura zinazopigwa ni lazima iwiane kwa idadi na serial namba za karatasi, itakayokosekana kwenye kishina cha kitabu si kura halali. mawakala wahesabu idadi ya karatasi zilizotumika, wawianishe kwenye vishina wakati wa kuhesabu.
12 kutumia chupa za chai na hotpot za vyakula. (Zinapoletwa kwa mawakala zisachiwe)
13 Kuwapotosha wapiga kura kwa taarifa za uongo siku ya kupiga kura. (Tumienin mawakala kupata taarifa sahihi)
Hebu changia nyingine, na kutoa mapendekezo ya jinsi ya kubana mianya hiyo.
1 Kupiga kura zidi ya mara moja: Bandika wino usiotoka (Ukitoka je)
2 Gawa shahada kwa wasio husika: Mawakala kuwagundua kwa sura
3 Kugawa karatasi zaidi ya moja kwa mpiga kura: Wakala kuwa makini
4 Kutumbukiza kura katika box kabla ya kufunga Kufunga kituo: Wakala akihongwa anakubali. (Sijui hapa watafanya nini)
5 Mpiga kura anaweza kuingia na karatasi nyingi za kura alizopigia nyumbani. Hii hutumika sana kama masanduku ya kura yakiwekwa kwenye vizimba. (Tunazibiti vipi)
5 Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi (Tafanyeje sasa)
6 Kutumia nguvu kuwatisha mawakala, kuchakachua (Nini kifanyike), hii inaweza ikawa katika vituo vya kupigia kura, wakati wa kusafirisha masanduku na wakati wa majumuisho. (Hapa naona ipo kazi, labda mawakala wa nguvu wasioogopa MG)
7 Kuwahi sana kupiga kura na kuwaacha mawakala peke yao katika vituo (hapa inakuwaje?)
8 Segerea style, kukimbia na masanduku ya kura. Hapa panahitajika escot ya nguvu sana, bila hivyo sijui. Bodaboda wanaweza hii kazi.
9 Je Magari ya Jeshi yanaweza kutumika, Basi tume ipate ma MP ili kushirikiana na wananchi wenye wasiwasi.
10 kuanzisha vurugu kituo cha kupigia kura hasa mida ya jioni. (Kuabakia katia vituo m 103 hadi kura zinapoondoka)
11 Karatasi ya kupigia kura huchanwa kwenye kitabu: Kwa maana hiyo idadi ya kura zinazopigwa ni lazima iwiane kwa idadi na serial namba za karatasi, itakayokosekana kwenye kishina cha kitabu si kura halali. mawakala wahesabu idadi ya karatasi zilizotumika, wawianishe kwenye vishina wakati wa kuhesabu.
12 kutumia chupa za chai na hotpot za vyakula. (Zinapoletwa kwa mawakala zisachiwe)
13 Kuwapotosha wapiga kura kwa taarifa za uongo siku ya kupiga kura. (Tumienin mawakala kupata taarifa sahihi)
Hebu changia nyingine, na kutoa mapendekezo ya jinsi ya kubana mianya hiyo.