Mbinu za uizi wa kura

Fredrick Sanga

JF-Expert Member
Jan 27, 2011
3,153
697
Nimeona kwamba ni vizuri tukiziweka wazi mbinu zinazitumika kuiba kura ili wanauhusika waweze kuudhibiti uizi huu ambao unawaza kutuvunjia amani yetu tuliyonayo:

1 Kupiga kura zidi ya mara moja: Bandika wino usiotoka (Ukitoka je)
2 Gawa shahada kwa wasio husika: Mawakala kuwagundua kwa sura
3 Kugawa karatasi zaidi ya moja kwa mpiga kura: Wakala kuwa makini
4 Kutumbukiza kura katika box kabla ya kufunga
Kufunga kituo: Wakala akihongwa anakubali. (Sijui hapa watafanya nini)
5 Mpiga kura anaweza kuingia na karatasi nyingi za kura alizopigia nyumbani. Hii hutumika sana kama masanduku ya kura yakiwekwa kwenye vizimba. (Tunazibiti vipi)
5 Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi (Tafanyeje sasa)

6 Kutumia nguvu kuwatisha mawakala, kuchakachua (Nini kifanyike), hii inaweza ikawa katika vituo vya kupigia kura, wakati wa kusafirisha masanduku na wakati wa majumuisho. (Hapa naona ipo kazi, labda mawakala wa nguvu wasioogopa MG)
7 Kuwahi sana kupiga kura na kuwaacha mawakala peke yao katika vituo (hapa inakuwaje?)
8 Segerea style, kukimbia na masanduku ya kura. Hapa panahitajika escot ya nguvu sana, bila hivyo sijui. Bodaboda wanaweza hii kazi.
9 Je Magari ya Jeshi yanaweza kutumika, Basi tume ipate ma MP ili kushirikiana na wananchi wenye wasiwasi.
10
kuanzisha vurugu kituo cha kupigia kura hasa mida ya jioni. (Kuabakia katia vituo m 103 hadi kura zinapoondoka)
11 Karatasi ya kupigia kura huchanwa kwenye kitabu: Kwa maana hiyo idadi ya kura zinazopigwa ni lazima iwiane kwa idadi na serial namba za karatasi, itakayokosekana kwenye kishina cha kitabu si kura halali. mawakala wahesabu idadi ya karatasi zilizotumika, wawianishe kwenye vishina wakati wa kuhesabu.
12 kutumia chupa za chai na hotpot za vyakula.
(Zinapoletwa kwa mawakala zisachiwe)
13 Kuwapotosha wapiga kura kwa taarifa za uongo siku ya kupiga kura. (Tumienin mawakala kupata taarifa sahihi)


Hebu changia nyingine, na kutoa mapendekezo ya jinsi ya kubana mianya hiyo.
 
Vile vile mpiga kura anaweza kuingia na karatasi nyingi za kura alizopigia nyumbani. Hii hutumika sana kama masanduku ya kura yakiwekwa kwenye vizimba.
 
Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi.

Jiulize wagonjwa wameongezeka sana kipindi hii?
Ni mzigo unapitishwa huo kupelekwa vijijini
 
Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi.

Jiulize wagonjwa wameongezeka sana kipindi hii?
Ni mzigo unapitishwa huo kupelekwa vijijini

Hiyo mizigo inashushiwa wapi? Tutoe taarifa wapi?
 
1. Kila mpiga Kura ahakikishe anawahi mapema na Kupiga kura.
2. Kila moja wetu ahakikishe anakaa nje ya mita 100 kutoka kituo cha kupigia Kura.
3. Hakuna kumwogopa mtu yeyote awe Askari etc.
4. Kukesha kwenye kituo hadi matokeo yatangazwe...
5. Hakuana Mtu au Gari yeyote kwenda kwenye eneo la kuhesabia kura mpaka likaguliwe ikiwa nje ya mita 100.
6. Kusindikiza masanduku ya kura hadi kituo kikuu cha kuhesabia kura.. Ofisi za halimashauri.
7. Kukesha kwenye kituo cha kutangazia matokeo hadi matokeo yatakapotangazwa kituo kwa kituo na Jumla kuu.




Hii inatosha?
 
Nimeona kwamba ni vizuri tukiziweka wazi mbinu zinazitumika kuiba kura ili wanauhusika waweze kuudhibiti uizi huu ambao unawaza kutuvunjia amani yetu tuliyonayo:

1 Kupiga kura zidi ya mara moja: Bandika wino usiotoka (Ukitoka je)
2 Gawa shahada kwa wasio husika: Mawakala kuwagundua kwa sura
3 Kugawa karatasi zaidi ya moja kwa mpiga kura: Wakala kuwa makini
4 Kutumbukiza kura katika box kabla ya kufunga
Kufunga kituo: Wakala akihongwa anakubali. (Sijui hapa watafanya nini)
5 Mpiga kura anaweza kuingia na karatasi nyingi za kura alizopigia nyumbani. Hii hutumika sana kama masanduku ya kura yakiwekwa kwenye vizimba. (Tunazibiti vipi)
5 Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi (Tafanyeje sasa)

6 Kutumia nguvu kuwatisha mawakala, kuchakachua (Nini kifanyike), hii inaweza ikawa katika vituo vya kupigia kura, wakati wa kusafirisha masanduku na wakati wa majumuisho. (Hapa naona ipo kazi, labda mawakala wa nguvu wasioogopa MG)
7 Kuwahi sana kupiga kura na kuwaacha mawakala peke yao katika vituo (hapa inakuwaje?)
8 Segerea style, kukimbia na masanduku ya kura.

Hebu changine nyingine, na kutoa mapendekezo ya jinsi ya kubana mianya hiyo.
umesahau mbinu hii iliyompatia mahanga ubunge.
9.KUKIMBIA NA MASANDUKU YA KURA!
 
Mmesahau magari ya wanajeshi kupitapita nayo yakaguliwe mnalisimamisha na kuwashusha wote na kuwasachi ni haki yenu!
 
Mmesahau magari ya wanajeshi kupitapita nayo yakaguliwe mnalisimamisha na kuwashusha wote na kuwasachi ni haki yenu!

Hapa inabidi tume iombwe kutoa ma MP ili hili zoezi lifanikiwe. Maana hawa wanapolice wao sijui itakuwaje hapa. Labda Dr atalijua hili.
 
Nimeona kwamba ni vizuri tukiziweka wazi mbinu zinazitumika kuiba kura ili wanauhusika waweze kuudhibiti uizi huu ambao unawaza kutuvunjia amani yetu tuliyonayo:

1 Kupiga kura zidi ya mara moja: Bandika wino usiotoka (Ukitoka je)
2 Gawa shahada kwa wasio husika: Mawakala kuwagundua kwa sura
3 Kugawa karatasi zaidi ya moja kwa mpiga kura: Wakala kuwa makini
4 Kutumbukiza kura katika box kabla ya kufunga
Kufunga kituo: Wakala akihongwa anakubali. (Sijui hapa watafanya nini)
5 Mpiga kura anaweza kuingia na karatasi nyingi za kura alizopigia nyumbani. Hii hutumika sana kama masanduku ya kura yakiwekwa kwenye vizimba. (Tunazibiti vipi)
5 Tuwe makini na hizi Ambulance zinazokpita pita kila mara haswa wakati huu wa Uchaguzi (Tafanyeje sasa)

6 Kutumia nguvu kuwatisha mawakala, kuchakachua (Nini kifanyike), hii inaweza ikawa katika vituo vya kupigia kura, wakati wa kusafirisha masanduku na wakati wa majumuisho. (Hapa naona ipo kazi, labda mawakala wa nguvu wasioogopa MG)
7 Kuwahi sana kupiga kura na kuwaacha mawakala peke yao katika vituo (hapa inakuwaje?)
8 Segerea style, kukimbia na masanduku ya kura. Hapa panahitajika escot ya nguvu sana, bila hivyo sijui. Bodaboda wanaweza hii kazi.
9 Je Magari ya Jeshi yanaweza kutumika, Basi tume ipate ma MP ili kushirikiana na wananchi wenye wasiwasi.
10
kuanzisha vurugu kituo cha kupigia kura hasa mida ya jioni. (Kuabakia katia vituo m 103 hadi kura zinapoondoka)

Hebu changine nyingine, na kutoa mapendekezo ya jinsi ya kubana mianya hiyo.

karatasi ya kupigia kura huchanwa kwenye kitabu kwa maana hiyo idadi ya kura zinazopigwa ni lazima iwiane kwa idadi na serial namba za karatasi, itakayokosekana kwenye kishina cha kitabu si kura halali. mawakala wahesabu idadi ya karatasi zilizotumika, wawianishe kwenye vishina wakati wa kuhesabu.
 
Sasa tunakaribia sana ule muda wa kupiga kura huku Arumeru, Tupeni mbinu zingine zinazotumika, nia yetu ni kuziweka wazi ili zidhibitiwe.
 
Ukistaajabu ya Wade, utaoona ya Sioi na ccm......... Nabashiri barriers kuwekwa njia kuu za kuingia Arumeru East kuanzia kesho, abiria waliofunga safari rasmi kwenda kutumia haki yao kupiga kura, watakaguliwa, watabughudhiwa, wataibiwa IDs, watacheleweshwa na wataruhusiwa ktk muda ambao hawataweza kuwahi kufika vituoni kabla zoezi halijafungwa. Utoto mwingine; wako watu ccm wanaona kutega miiba na misumari njiani nao ni ujanja na mbinu itakayowapa ushindi kwa kupunguza kura za wanaotoka mbali. Hamtoamini, kuanzia Jmosi Arumeru itakuwa na matrafiki wengi kuliko wa Dar. Magari yanayoondoka mikoa ya karibu (Arusha, Kili, Mantra, etc) kuja Arumeru yatakamatwa hovyo hovyo na askari katikati ya safari kwa kisingizio cha Ukaguzi wa Kawaida.
 
Kigoma na Pemba pekee ndo wameweza kuwadhibiti CCM,kule watu wamepigika mifukoni sio kichwani kama watu wengi wa maeneo mengine wakioneshwamwekundu wanakodisha shahada zao mpaka uchaguz uishe!
 
Kigoma na Pemba pekee ndo wameweza kuwadhibiti CCM,kule watu wamepigika mifukoni sio kichwani kama watu wengi wa maeneo mengine wakioneshwamwekundu wanakodisha shahada zao mpaka uchaguz uishe!

Hapa hili nalo neno, Je wameru wakoje, hebu tusaidie kwa hili.
 
Back
Top Bottom