Mbinu za kutongoza....

Mbinu za kutongoza....

Labda anampigia.kwa.skype hehehe

Hehehehehe.......Dah, kweli we mkali. Never thought of this. Ila Skype kibongobongo mmmmh! Nimezoe kusikia watu wajiskype na watu wao wa mamtoni tu. Any ways brilliant idea from u.
 
Mpigie halafu,muulize kama ameolewa au m@*%ya,akisema hajaolewa,mwambie unataka kifua chako na chake vigandane,ili mambo iwe bambam!
 
Dada samahani!Naomba dakika zako tano tu unisikilize!...Akikubali mwambie hivi!"Sitaki kujua Jina lako lkn langu naitwa Mtendahaki,sitaki kujua kazi yako wala historia yako lakini ukweli toka moyoni mwangu ni kuwa tokea nikuone akili yangu imeniruka nimeshindwa kufanya shughuli nyingine kwani nakuwaza wewe!Kweli sijakutana na mrembo wa jinsi yako, nimechoka kuendelea kuteseka!Ndio maana sitaki hata kujua historia yako mie nataka kujua kama naweza kupata nafasi kwenye moyo wako!Tafadhali naomba nikubalie kwani sina mpango wa kukuchezea,mie namekupenda!" Akiruka hapo temana nae kamwambie mwingine lazima utang'oa tu!
 
Napita tu mkuu nitarudi tena manake mimi mgeni
 
u hv to be strategic, yaani ww umepewa namba unataka nn tena, at least u need to know if she is availble maake anaweza kuwa na mtu, ila kama angekuwa kaolewa ingekuwa vigumu kukupa namba au angekupa harafu akakupa masharti ya kupiga mida ya kazi tu!!!!!!!
 
Mwambie ''dear of course I love you''akikujibu nambie amesemaje nikuambie tena!!
 
Dada samahani!Naomba dakika zako tano tu unisikilize!...Akikubali mwambie hivi!"Sitaki kujua Jina lako lkn langu naitwa Mtendahaki,sitaki kujua kazi yako wala historia yako lakini ukweli toka moyoni mwangu ni kuwa tokea nikuone akili yangu imeniruka nimeshindwa kufanya shughuli nyingine kwani nakuwaza wewe!Kweli sijakutana na mrembo wa jinsi yako, nimechoka kuendelea kuteseka!Ndio maana sitaki hata kujua historia yako mie nataka kujua kama naweza kupata nafasi kwenye moyo wako!Tafadhali naomba nikubalie kwani sina mpango wa kukuchezea,mie namekupenda!" Akiruka hapo temana nae kamwambie mwingine lazima utang'oa tu!

Hapo kwel hakuna anayeweza kuruka. Naomba nitoe copy mkuu!
 
Tuko wengi ndugu yangu km ww mm mpaka leo kutongoza shughuli yaani demu nikimtaka nikionana nae uso kwa uso moyo unaenda mbio km nataka kuuliwa vile ila nikipata number ya simu kwisha habari sasa nakushangaa ww umepata number ya simu alafu huwezi kusema ww mwehu kweli kumvua nguo ndo utaweza ww
 
Mimi sijui kabisa kutongoza wanawake wa maofisini, nimezoea sana kuchukua hawa madada poa...

Kuna watu hapa mjini ni mission town tu, lakini kila siku wanawamega wa maofisini...

Kwa mfano jana nilienda ofisi moja nikakutana na dada mmoja ana mattako mazuri yakanivutia, nikazuga kumuomba

namba yake ya simu anipe kwa sababu nilihitaji huduma hapo ofisini kwao, na yeye akanipa...

Nilipofika nyumbani nikawa sijui nianze vipi ili niweze kumnasa, nikataka nimuulize utataka shilingi ngapi nikupe lakini

nikaogopa, nikaona bora nimuulize kwa sms kama anatumia mtandao wa facebook au tweeter anipe id yake niweze

kumuadd, akanijibu kuwa hatumii mtandao wa aina yoyote.......nikashindwa hata kumuuliza tena

Nawaombeni jamani mnipe mbinu za kutongoza

nipe namba zake
 
Back
Top Bottom