Mbinu za kutongoza....

Mbinu za kutongoza....

tovuti

Senior Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
160
Reaction score
12
Mimi sijui kabisa kutongoza wanawake wa maofisini, nimezoea sana kuchukua hawa madada poa...

Kuna watu hapa mjini ni mission town tu, lakini kila siku wanawamega wa maofisini...

Kwa mfano jana nilienda ofisi moja nikakutana na dada mmoja ana mattako mazuri yakanivutia, nikazuga kumuomba

namba yake ya simu anipe kwa sababu nilihitaji huduma hapo ofisini kwao, na yeye akanipa...

Nilipofika nyumbani nikawa sijui nianze vipi ili niweze kumnasa, nikataka nimuulize utataka shilingi ngapi nikupe lakini

nikaogopa, nikaona bora nimuulize kwa sms kama anatumia mtandao wa facebook au tweeter anipe id yake niweze

kumuadd, akanijibu kuwa hatumii mtandao wa aina yoyote.......nikashindwa hata kumuuliza tena

Nawaombeni jamani mnipe mbinu za kutongoza
 
Unataka mbinu za kuupata ugonjwa au unatafuta mwenza wa maisha! usijilaumu sana ,Akunyimae kunde akupunguzia mashuzi.
 
Ulikosea step toka mwanzo, ungempiga tu matakoni afu ukasema ulikuwa unayatazama kama ya laini au magumu, rudi leo ukafanye vile :biggrin1:
 
muandikie sms mwambie umevutiwa na kutamani makalio yake!hizo ndio hasaran za kununua madada poa.mwone hata akui

Asante mkuu....
Umeona eee madada poa hawana kokoro, anakutajia bei unatoa na unapewa mzigo

Halafu kwangu mimi pesa sio tatizo hata laki natoa kwa bao 1, lakini kama watakuwa wadada wa maofisini au wa Jf wanaweza ni pm
 
Una umri gani wewe?Ukizoea vya kununua ndio madhara yake hayo!
 
Kweli duniani kuna mam​bo. Mtu anaomba ushauri wa kufanya zinaa?
 
mwandikie hii sms kwanza kabla ya kuanza kutupia mistari yako "Dear mdada, nimetokea kukupenda ghafla sijajua sababu ni nini na mpaka leo naogopa kukuambia, Nia ya kukandikia ni kutaka kukutogoza tu kwani mie ni domo zege sana na nimezoea kununua madada poa kupita kiasi. Ukipata ujumbe huu naomba uufute na usinioneshe siku tukikutana kwani ntona aibu sana. I hope utanikubalia kwani kutongoza nayo yataka moyo...WASSALAAAM"
 
Asante mkuu....
Umeona eee madada poa hawana kokoro, anakutajia bei unatoa na unapewa mzigo

Halafu kwangu mimi pesa sio tatizo hata laki natoa kwa bao 1, lakini kama watakuwa wadada wa maofisini au wa Jf wanaweza ni pm

Hahahaaa.... Ngoja naku PM.. Sasa nikisha ku PM si utashindwa kuendeleza somo au itakuwaje?
 
Kweli duniani kuna mam​bo. Mtu anaomba ushauri wa kufanya zinaa?
Tunaishi katika dunia yenye aina ya watu tofauti,wenye mtazamo tofauti,imani tofauti na fikra tofauti,sishangai sana kuhusu hili maana Mungu huweka watu kama mifano ili watu waelewe kuwa yupo kwa maana aliwaumba.
 
Asante mkuu....
Umeona eee madada poa hawana kokoro, anakutajia bei unatoa na unapewa mzigo

Halafu kwangu mimi pesa sio tatizo hata laki natoa kwa bao 1, lakini kama watakuwa wadada wa maofisini au wa Jf wanaweza ni pm
Ni-pm nikupe tricks. Mi huwa nawamega sana tu ingawa sina kitu. Tena wao ndio huwa wanalipia gharama zote na kwa vile ni masista duh wa ukweli huwa hawapendi nikawamege sehemu za kawaida. Wanapenda matawi na sometimes huwa tunaenda nje ambako si rahisi mambo yao kujulikana. Hii nayo ni shule kaka, sio kukurupuka tu na mihela yako, italiwa yote na wala usipate kitu!
 
Mimi sijui kabisa kutongoza wanawake wa maofisini, nimezoea sana kuchukua hawa madada poa...

Kuna watu hapa mjini ni mission town tu, lakini kila siku wanawamega wa maofisini...

Kwa mfano jana nilienda ofisi moja nikakutana na dada mmoja ana mattako mazuri yakanivutia, nikazuga kumuomba

namba yake ya simu anipe kwa sababu nilihitaji huduma hapo ofisini kwao, na yeye akanipa...

Nilipofika nyumbani nikawa sijui nianze vipi ili niweze kumnasa, nikataka nimuulize utataka shilingi ngapi nikupe lakini

nikaogopa, nikaona bora nimuulize kwa sms kama anatumia mtandao wa facebook au tweeter anipe id yake niweze

kumuadd, akanijibu kuwa hatumii mtandao wa aina yoyote.......nikashindwa hata kumuuliza tena

Nawaombeni jamani mnipe mbinu za kutongoza


Duh hii nayo kali kweli,itabidi tuombe zile zama za jando na unyago zirudi huenda zikasaidia watu kama nyie!!!!!!!
 
Mimi sijui kabisa kutongoza wanawake wa maofisini, nimezoea sana kuchukua hawa madada poa...

Kuna watu hapa mjini ni mission town tu, lakini kila siku wanawamega wa maofisini...

Kwa mfano jana nilienda ofisi moja nikakutana na dada mmoja ana mattako mazuri yakanivutia, nikazuga kumuomba

namba yake ya simu anipe kwa sababu nilihitaji huduma hapo ofisini kwao, na yeye akanipa...

Nilipofika nyumbani nikawa sijui nianze vipi ili niweze kumnasa, nikataka nimuulize utataka shilingi ngapi nikupe lakini

nikaogopa, nikaona bora nimuulize kwa sms kama anatumia mtandao wa facebook au tweeter anipe id yake niweze

kumuadd, akanijibu kuwa hatumii mtandao wa aina yoyote.......nikashindwa hata kumuuliza tena

Nawaombeni jamani mnipe mbinu za kutongoza

Lengo lako ni nini hapa? Unataka kuoa au kuwachezea tu kama ulivyokuwa ukiwachezea hao madada poa?
Ushauri wa bure: Jitahidi uachane na hizo tabia za kuchukua madada poa, utaishia kupata maradhi na baadaye hautaweza kuwa mwaminifu katika maisha yako ya ndoa.
 
Lengo lako ni nini hapa? Unataka kuoa au kuwachezea tu kama ulivyokuwa ukiwachezea hao madada poa?
Ushauri wa bure: Jitahidi uachane na hizo tabia za kuchukua madada poa, utaishia kupata maradhi na baadaye hautaweza kuwa mwaminifu katika maisha yako ya ndoa.

1-Kwani wakati tunapofanya hilo tendo na yeye huwa hanichezei???????

2-Na kama kuoa, vipi nitaoa bila ku test mashine?? au unataka niuziwe mbuzi kwenye gunia mkuu????
 
1-Kwani wakati tunapofanya hilo tendo na yeye huwa hanichezei???????

2-Na kama kuoa, vipi nitaoa bila ku test mashine?? au unataka niuziwe mbuzi kwenye gunia mkuu????


Sawa mzee, endelea tu at your own risk!
 
km vp endelea kununua tu,....kilaza
 
Back
Top Bottom