kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,481
BAADA YA KUJADILIANA INAKUWAJE! HALAFU NISIVYOPENDA KUSHAULIWA! KAMA BENKI HAWAKOPESHI NA NIMEWAAMBIA WASIKOPESHE MTAFANYAJEHabari wana jukwaa hili pendwa,
Nimekuja tushare mbinu mbalimbali za kupata mitaji ya kufanyia biashara mbalimbali
Wengi wetu tumekua tukihaha kutafuta mitaji ya kufanyia biashara na ujasiriamali
Wengi wameshindwa kukopa mabenk hususan mikopo midogo kwa sababu ya kukosa vigezo kama dhamana n,k
Suali jee tunawezaje kupata mitaji ya kufanyia biashara mbalimbali?
Karibuni tujadiliane tupate maarifa