Mungu awabariki,Napenda nizungumze wazi nionavyo mimi na wenye akili wataniunga mkono kwa hili,Hebu kumbukeni CCM ilitumia mbinu gani kuidhoofisha NCCR, CUF na sasa CHADEMA pindi vinapotokea kuwa na nguvu za wananchi,
1. Nakumbuka CUF waliitangazia udini na mapanga ikaonekana ni wahuni na wanahatarisha maisha ya watanzania baadae wakatengeneza serikali ya kitaifa Zanzibar na sasa unaona kilichotokea.
2. Sasa wameanza CHADEMA ina udini,vikundi na mengine mengi tu lengo ni kukifanya wananchi wakichukie
Sasa basi popote muwapo waelimisheni wananchi kinachoendelea na kilichowahi kutokea kwa wengine,hii inaniuma sana mm na ningekuwa na uwezo ningewaelimisha ili hawa mafisadi na chama chao watupishe wa2achie nchi ye2.
1. Nakumbuka CUF waliitangazia udini na mapanga ikaonekana ni wahuni na wanahatarisha maisha ya watanzania baadae wakatengeneza serikali ya kitaifa Zanzibar na sasa unaona kilichotokea.
2. Sasa wameanza CHADEMA ina udini,vikundi na mengine mengi tu lengo ni kukifanya wananchi wakichukie
Sasa basi popote muwapo waelimisheni wananchi kinachoendelea na kilichowahi kutokea kwa wengine,hii inaniuma sana mm na ningekuwa na uwezo ningewaelimisha ili hawa mafisadi na chama chao watupishe wa2achie nchi ye2.