Hao wanaosema sijui grean tea cjui yai moja...kwanza gharama pili ni kujitesa ulale na kabich tumboni ...... Ukipiga sana mazoez plus kupunguza sukari na mafuta mwili unapungua vuzur tuu....mm nilikuwa na kilo 89....na gram zake nime hit mazoez sasa Nina kilo 72 tuu...tshirt na jeans zinanikaa saafi kabisaExactly ,
Ndio maana nasema hyo ndio simple way(ziko nying ingawa) sio wote wanawez fany mazoez masaa mawil au matatu,na pia we do this kwa kutaka results za haraka sas ukisema ule full menu halafu utegemee results z haraka sio kweli,unless uwe unafany mazoez meng sana btw wataalam wanashauri kula health na mazoez ndio sir y muonekano mzuri!Hao wanaosema sijui grean tea cjui yai moja...kwanza gharama pili ni kujitesa ulale na kabich tumboni ...... Ukipiga sana mazoez plus kupunguza sukari na mafuta mwili unapungua vuzur tuu....mm nilikuwa na kilo 89....na gram zake nime hit mazoez sasa Nina kilo 72 tuu...tshirt na jeans zinanikaa saafi kabisa
Nashukuru umelijua hilo ongezea pale Chin kuweka self motivation kabisa ha ha ha ila ntakufata pm kama hujaifunga kwa maelezo zaidiHahahahaha ndio hvyo nakumbuka Nyani Ngabu alisha sema unatakiwa uwe na self motuvation ndio utafanikiwa, so usifanye kama huna mood kbs
Natumai haijafungwa maana kuna zoez la kufunga pmHahaahahahaaha
Karibu
Funga baada ya kupokea ya kwangu na unajibu mapemaa....Am abt to
Ha ha ha ha nitume wakat nasubir majibu sa hviKatume chap maana ndio naelekea kwy settings now
Au mweny maoni zaid anielewesheNaomba kuuliza ukichangaya mchanganyo wa maji ya moto asali limao na tangawiz nasikia ni vitu vizr kweny kupunguza uzito na tumbo
Kupungua ni ishu bestHahahahah hyo ni elimu ya mtaani dearly