oooh bwoy....well well well.....@lara 1 baby......help......
Jipe moyo utapata ujasiri wa kumueleza ukweli vile unavyojisikia. Kwani wao mbona wakitu-feel wanatuambia live?preta nipe ujuzi kidogo, hawa kaka zetu ukimkodolea macho na kumwelezea vile unavyojisikia kuhusu yeye anakuona kicheche,
... mvalie rohorojo transparent kidogo, then... usimsemeshe..
... vaa braa za kusimamisha tits...
--- Mwalike lunch... don't tell him anything...
-- ukimaliza lunch, baada ya two days mwalike dinner only u two, then mvalie kumuua, then maongezi yakinoga MWAMBIE MKALE TUNDA, utalipia gharama zote na umekuja na condoms paketi 5, yaani za mechi round 15..
... Goodluck..
... mvalie rohorojo transparent kidogo, then... usimsemeshe..
... vaa braa za kusimamisha tits...
--- Mwalike lunch... don't tell him anything...
-- ukimaliza lunch, baada ya two days mwalike dinner only u two, then mvalie kumuua, then maongezi yakinoga MWAMBIE MKALE TUNDA, utalipia gharama zote na umekuja na condoms paketi 5, yaani za mechi round 15..
... Goodluck..
U don't need to complicate.....
Muite pembeni, mtizame machoni mwambie unampenda, tena be confident(sio ukakamae sasa)
using'ate kucha mbele ake, utang'ata badae ukiwa mwenyewe....!!!
Wachache sana wanaokataaga teh! omba asiwe mmoja wapo make hizo aibu sijui utaziweka wapi
Kuwa karibu nae, kuwa karibu kunavutaga hisia za watu wawili: Unaweza kuwa naye karibu kwa;-
1) Jifanye unahitaji msaada wa ki-technical hata kama unajua. Hii inategemea na nature ya kazi mnayofanya. Mfano, kama ni wahasibu jifanye kuna report unataka kuivuta kwenye system ila umesahau au hujui path.
2) Jifanye umechoka kula lunch sehemu moja, na unataka kuchange mazingira, like ' where do u go 4 lunch, i wish niku-join maana huko nakoenda kumenichosha'.
3) Fanya utafiti anapenda kuongelea nini, kama siasa, filamu, mpira etc. ili nawe uongelee hilo, hii itatoa starter ya maongezi yenu.
4) Uwe una-smile kila ukimuona (sio sana, si unajua unaweza ku-smile bila kuonyesha meno).
Ukifanya hivyo hapo juu mtajikuta mmekuwa marafiki wa kawaida, sasa kama una vigezo vya mwanamke anayempenda ye mwenyewe ataanza kukutokea, ukiona hasemi kitu, itabidi ujilipue tu ( yaani umwambie face to face kwenye lunch au dinner).
Angalizo: confirm kama policy ya ofisi yenu inaruhusu mapenzi ofisini, usije kumsababishia kijana wa watu matatizo.