Basil Lema
Member
- Jan 20, 2013
- 86
- 277
Wakuu Amani iwe nanyi
Nimekamata barua kutoka kwa mmoja wa watendaji wa kata ya Longuo. Barua hii inatoa maagizo kwa wakazi kwenye regista mpya. Kwa kujibu wa barua hiyo ni wale tu walioandikishwa katika regista hiyo ndiyo watakaopiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014.
Mwisho wa kuandisha ni Tr. 31/1/2014.
Wakuu ikizingatiwa kwamba wanaojuazoezi hili ni maafisa watendaji, madiwani na wenyeviti wa vijiji na mitaa na kwa kuzingatia kwamba CCM ndo wenye madiwani na wenyeviti wengi wa vijiji, basi uandikishaji huu ambao ni wa siri utafanyika kwa namna ambayo utakinufaisha Chama Cha Mapinduzi.
Shime wapenda haki na demokrasia tushirikiane kupiga kelele ili haki itendeke. Inakuwaje kuwa na madaftari mawili ya wapiga kura?
Nimekamata barua kutoka kwa mmoja wa watendaji wa kata ya Longuo. Barua hii inatoa maagizo kwa wakazi kwenye regista mpya. Kwa kujibu wa barua hiyo ni wale tu walioandikishwa katika regista hiyo ndiyo watakaopiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014.
Mwisho wa kuandisha ni Tr. 31/1/2014.
Wakuu ikizingatiwa kwamba wanaojuazoezi hili ni maafisa watendaji, madiwani na wenyeviti wa vijiji na mitaa na kwa kuzingatia kwamba CCM ndo wenye madiwani na wenyeviti wengi wa vijiji, basi uandikishaji huu ambao ni wa siri utafanyika kwa namna ambayo utakinufaisha Chama Cha Mapinduzi.
Shime wapenda haki na demokrasia tushirikiane kupiga kelele ili haki itendeke. Inakuwaje kuwa na madaftari mawili ya wapiga kura?