Mkuu sio wewe tu, mie yananisibu kama hayo, kuna mke wa jamaa mtaani, haishi kunipigia simu "swahiba ninashida kweli, kama laki 3 hv swahiba" cha ajabu huo uswahiba hatuna hilo moja, pili hajawahi kuwa specific kama ninamkopesha au lah, halaf mchiz sio rafiki kivile zaid ya kuonana mtaani salam za hapa na pale, na stor za juu juu sio kama tunaweza kukaa tukayapanga yetu...