kuna mbinu mpya ya kuchakachua habari inayotumika na sisiem na serikali ya yake kuwateka wasomaji na watafutaji wa habari
wanachofanya ni kuchanga habari furani zitakazo kuvutia lakini hawatokuonyesha habari nzima wataweka habari ya upande wanaofaidika nao hao wenye nafuu kidogo
KUNA HABARI NIKUA NIMEIWEKA KWEYE BLOG YANGU TAREHE 6/03/2011
HII HAPA www.lifeofmshaba.com: YALIYOTOKEA ARUSHA KATIKA VIDEO
NILIWEKA FULL STORY YAANI VIDEO ZOTE MBILI PARTY ONE NA PART TWO
ZILE VURUGU ZA ARUSHA CHADEMA NA POLISI
MIMI NILIPOST TAREHE 6/03/11 KWA SABABU BLOG YANGU IMEANZA 14/03/11
HIVYO WAKATI WA TUKIO NILIKUA SIJAANZA SHUGHULI HII YA KUBLOG
LAKINI LEO KUNA HII BLOG MICHUZI: yaliyosibu arusha na kupelekea vurugu
IMERUSHA ILI TUKIO KWENYE BLOG YAO NA WAMEWEKA PART 2 WAMERUKA PART ONE
NA KWENYE HIYO PART WALIYORUKA KUNA POLISI WALIKUWA WANAVUNJA GARI KWA MANENO MENGINE WANASHAMBULI GARI ILIYOSIMAMA NA DEREVA KUPIGA VIRUNGU HAKIWA NDANI YA GANI
SASA HII NI NINI ? KWA NINI LEO? NA KWA NINI NUSU TUKIO?
MIMI NIMESHA HAMU KULINYEA KAMA YEYE HAYUKO TAYARI KWANINI KUPOTOSHA WATU NI BORA KUHACHA KAMA BAADO KAZI YA NI BORA KULIKO WATANZANIA NA SISI WENYE MIOYO YA BABA WA TAIFA NYERERE TUKO TAYARI KUINYWA HIYO SIKI
GAME HII YA SASA INAITAJI WATU MAKINI NA TEGEMEZI KAMA UNAKULA KWA KUTUMIA BLOG UTATUWIA RADHI KUNA MAISHA YA WATANZANIA YANAITAJI KUOKOLEWA KUTOKA KWA HAO TAI UNAOJARIBU KUWAFICHA BANDANI MWAKO
MIMI NADHANI MWANA BLOG MWENZETU ANATUMIWA KUCHAKACHUA HABARI WATU WATAKAO IONA HIYO HABARI WATAJUA WAMEPATA FULL STORY KUMBE NI NUSU NA WAKIIONA MAHALI PENGINE WATAIRUKA WAKIDHANI NI MARUDIO NA HII ITAFICHA UOVU WA POLISI NA SERIKALI KWA UJUMLA
UMEFIKA WAKATI KUPIGA VITA VYOMBO VYA HABARI KAMA HIVI WAZI WAZI, HUU NI UFISADI WA HABARI NA UBINAFISI ULIOPINGUKIA MI....ZI HAITENDEI HAKI JAMANI KWA KUWACHAGULIA HABARI ANAZOPENDA YEYE NINA HAKIKA ANAJUA KUNA PART MBILI MAANA HATA ALIYO POST IMEANDIKA PART TWO
NINA OMBA SUPPORT KUANGAMIZA WATU KAMA HAWA KWENYE SOKO LA HABARI
MIMI NINGEFURAHI KAMA NINGEONA TUNAFANYA JUHUDI KUIKOMBOA JAMII YETU SIO KUIANGAMIZA
KWA KUPEWA VIJISENT AU KAMA AMENUNULIWA HASEME WATU TUJUI HIYO SIO TENA BLOG YA JAMII
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Lifeofmshaba,
Bahati mbaya kwenye teknohama aliyetangulia ametangulia na hasahasa kama ni blogs au forums au websites au search engines . Mfano Jamiiforums hata ipigwe vita na mafisadi, Jamiiforums imeshajikita kama ndio kijiwe cha teknohama cha great-thinkers Tanzania na haiwezi kupitwa tena na forum yeyote Tanzania au tusema na forum nyingine ya kiswahili duniani.
Hivyo wewe lifeofmshaba kwa nini na wewe blog yako imekaa kopi right kama michuziblog? bahati mbaya michuziblog nayo imeshatoka ipo mbele kwa mapicha, video, harusi, matamasha sasa kwa nini na wewe uende kwa mtindo huo huo? kwa kweli hutaweza kuishinda michuziblog labda utoke kivingine, yaani blog yako iwe na ubunifu kwa kupenya ktk jumuia ya teknohama kwa namna mpya kabisa.
Sisi member wa jamiiforums ishakuwa ni 'brand' inayoeleweka kuwa kama unataka majadiliano ya kina na Watanzania wenzako njoo Jamiiforums na kama unataka kujua watu wametanua vipi nenda Michuziblog.
Kwa maelekezo ya kujua Forums, search-engines, websites, blogs zinavoweza kuhodhi usambaaji wa habari na pia kusambaza habari kama virusi vya ukimwi kwa kupitia 'hubs' e.g facebook, yahoo, google, jamiiforums,Youtube etc soma kitabu:
''Linked - how everything is connected to everything else and what it means for business, science and everyday life by Albert-Laszlo Barabasi.