Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
ukubwa jembe hawa MaCCM wametengeneza rasmi mchepuko ACT wakijua lazima watu wasio na hekima wakikosa watakalo CDM watakimbilia huko ACT!!
Uone sasa usaliti wa Zito maana nia yao ni kupunguza nguvu na kura za UKAWA!!
Kwani huyu Zito anapata faida gani kama si kuipigania CCM ibaki madarakani??
Kama sio kuwasaliti Watanzania ni nini??
Uone sasa usaliti wa Zito maana nia yao ni kupunguza nguvu na kura za UKAWA!!
Kwani huyu Zito anapata faida gani kama si kuipigania CCM ibaki madarakani??
Kama sio kuwasaliti Watanzania ni nini??
Last edited by a moderator: