Mbinu hii inaweza kunisaidia?

Mbinu hii inaweza kunisaidia?

kama wewe

Member
Joined
Jun 19, 2015
Posts
94
Reaction score
23
Ndugu zangu mm nimesomea mambo ya Tehama(ict) sasa nimeamua kuandika business proposal nne ili nizi peleke kwenye makampuni tofauti je kwa mazingila ya nchi yetu
je

  • wanaweza zipokea
  • pia zinaweza badili maisha yangu na
  • mwisho nifanye kitu gani kabla ya kuzipeleka
aksanteni kuweni huru kuchangia
 
Kama wewe tu hujiamini mkuu unadhani wao hao watakuamini?
 
ndugu zangu mm nimesomea mambo ya tehama(ict) sasa nimeamua kuandika business proposal nne ili nizi peleke kwenye makampuni tofauti je kwa mazingila ya nchi yetu
je

  • wanaweza zipokea
  • pia zinaweza badili maisha yangu na
  • mwisho nifanye kitu gani kabla ya kuzipeleka
aksanteni kuweni huru kuchangia
bank gani?
 
Kaka jiandae na maharamia. ila penye nia pana njia!! Usikatishwe tamaa na coment za watu wanaopenda kudiscourage idea na mawazo ya mtu .
 
Ndugu zangu mm nimesomea mambo ya Tehama(ict) sasa nimeamua kuandika business proposal nne ili nizi peleke kwenye makampuni tofauti je kwa mazingila ya nchi yetu
je

  • wanaweza zipokea
  • pia zinaweza badili maisha yangu na
  • mwisho nifanye kitu gani kabla ya kuzipeleka
aksanteni kuweni huru kuchangia
Go on with your plan usianze kuwaza watazipokea au hawatazipokea.Sometimes si kila kitu ushirikishe watu hasa hapa ambao hata uwajui wengine wanapost tu ili kuongeza idadi ya post per day.Usipokuwa makini utavunjwa moyo,jiamini hata usipofanikiwa si unarudi pale pale ulipokuwa mwanzo so what is the problem?lakini hizo proposal zikifanikiwa unatuuliza tena kama zitabadilisha maisha yako?Sisi hatukujui wewe ndiyo unajijua.
Watu wengi wanao expose plan zao hawafanikiwi,unaweza amini hicho ulicho andika kuna watu wanakifanyia kazi na watatoka wakati wewe bado unasubiria mawazo ya wana jf wao wanatekeleza?
Go on with your plan,you have nothing to worry about.
 
Back
Top Bottom