EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
wana JF,Jana nilishikwa na butwaa baada ya kufika mtaani kwangu Usa River Arusha na kukutanana jamaa mmoja akaniambia kuwa amechaguliwa na ccm kuwa balozi wa mtaani kwetu.
Kinachonishangaza sisi hatukuwahi hata kumpendekeza huyu jamaa kuwa balozi wetu.
Hivi ubalozi si mtu anachaguliwa na wakazi kwa kupigiwa kura ka chaguzi nyingine?Naanza kunusa dalili mbaya huko mbele makamanda tuwe macho.
Nawasilisha.
Kinachonishangaza sisi hatukuwahi hata kumpendekeza huyu jamaa kuwa balozi wetu.
Hivi ubalozi si mtu anachaguliwa na wakazi kwa kupigiwa kura ka chaguzi nyingine?Naanza kunusa dalili mbaya huko mbele makamanda tuwe macho.
Nawasilisha.