Mbinu chafu 56 JK alitumia kushinda uchanguzi 2005

Hasara

Senior Member
Dec 29, 2006
138
9
Mbinu chafu JK alitumia kushinda uchanguzi 2005,
wananchi wangelipenda kujua mbinu zilizo tumia kwa CCM kushinda uchanguzi wa mwaka 2005 zikiwemo kile kilichoitwa ukatili kufa au kupona SALIM H. SALIM alihusishwa kumuuwa Rais wa zamani wa Zanzibar ABEID KARUME, ambayo ilitolewa kwenye magazeti likiwepo GAZETI MWANANCHI.

na aliye kuwa muhariri wa gazeti hilo BW.SAID NGUBA ndiye mwandishi wa waziri mkuu, fadhila hiyo..

mara mbili ukurasa wakwanza, MALECELA,BILALI kutolewa kimabavu, , kutumia BBC RADIO, na mengine mengi hiyo ni mifano tu ziko mbinu chafu zaidi 56 walitumia kushinda WanaJF zijazieni mpaka zifikie au na zaidi, ikiwepo kuiba kura, kuwamaliza upizanani, Ahadi na mikataba waliyo siini, ya mahoteli.kuwaujumu watu wasiyo waunga mkono,

jamani wanajambo mnayajua yawekeni hapa yote ili wasirudie 2010 iwe ni mwanzo na mwisho.

WEKENI HIZO MBINU ZOTE HAPA .
 
Mbinu chafu JK alitumia kushinda uchanguzi 2005,
jamani wanajambo mnayajua yawekeni hapa yote ili wasirudie 2010 iwe ni mwanzao na mwisho.

WEKENI HIZO MBINU ZOTE HAPA .

Ninayo ijua mimi ni kalamu kupitia vyombo vya habri.

Hii ikiongozwa na spinn master RA. aliwanunua wahariri na waandishi mbali mbali akiwemo Salva R. aliyetunukiwa cheo cha asante juziikulu, kuwapakazia kinoma washindani wake, hasa Sumaye kwa kumfanya aonekane ni mwizi mkubwa mbele ya macho ya Watanzania, kitu ambacho mpaka sasa hakija thibitika, na badala yake kumbe mwizi mkubwa alikuwa bosi wake chenkapa!
 
..aliyeongoza kitengo cha ujasusi wa propaganda na mbinu chafu...ni bernard cammillius membe..majeruhi wa kwanza akiwa bosi wake wa zamani usalama na ubalozini canada..dr kitine,akafuatia iddi simba,DR salim ahmed salim..sumaye alikabiliwa na lowassa mwenyewe akisaidiana na mkurugenzi wa sasa wa PCB, na ndio maana baraza la mawaziri lilipotajwa membe alipopewa unaibu waziri alizusha mgogoro mkubwa ndani ya mtandao akisisitiza kwa kazi kubwa aliyofanya hakustahili kugawiwa cheo kidogo.....cheo alichotegemea tangu mwanzo ni hiki cha waziri wa mambo ya nje.......
 
HABARI HII NI YA KUTOKA 'TANZANIA DAIMA'


Halahala Kikwete nchi inakuharibikia!


Na Absalom Kibanda

 
me ninyo hisi iliyokuwa na nguvu zaidi ni ile ya nguvu ya giza..mapete yale na timu ya ufundi aliyokua akitembea nayo hata kule alipokua akito hotuba kidooogo azidiwe kete na yule jamaa lakini timu yake was strong..ika msave..
siku ile jangwania alipoanguka yasemekana hamna lolote ni tiba tuu ziliingiliana na kuzidiana kete wakamuwahisha bagamoyo kupewa first aid ya kijadi..kutoka kwenye ile ile timu yake ya ufundi ambayo kama ilivyo kwa Maximo nayo nasikia ilikua imported from west Africa as yasemekana huko ndo brazil ya nguvu hizo za giza..
pia tujiulize swali ni kwanini hatuoni lolote analofanya huyu bwamdogo na mtu unaweza mcriticise kufa lakini akitokea kwenye screen tuu mtu unaweza hata sema c.c.m oyeeee au kidumu chama cha mapinduzi.....je ni kwa nini????kama sio nguvu za ziada??au ndo tuseme jamaa ana kismati??no way
 

Mtupori.... asante sana kwa hii.... this is deep....

Muda si mrefu watu watajua kuwa wanamtandao hawaitakii mema nchi yetu..... It is bad kuwa mkoloni na mwizi Rostam Aziz amejipenyeza vilivyo kwenye media so watu wengi hawapati habari kama hizi BUT... soon GOD's willing mtandao wataface justice yao
 
Kundi hilo lilijumuisha watu wengi. Likamfikia Ferdinand Ruhinda, rafiki na mwenza wa kweli na wa siku nyingi wa Mkapa tangu mwanzoni mwa miaka ya 1970.
Hapa mkuu umemsahau Mushi pia mshikaji wa karibu wa Mkapa, ambaye huyo mkuu alikuwa akikutania sana nyumbani kwake na yule Hawara yake wa maisha, Mama Rweyemamu, halafu ni Mkulu Ruhinda, ambaye Mtandao walimpa lile "FAILI" walilomkaba nalo koo Mkapa,

Halafu kuna siri mpya ambayo walikuwa wameificha kwa muda mrefu sana sasa inaanza kutoka, pia walimrubuni mkuu wa idara aliyestaafu, lakini ilikuwa ni siri yao kubwa sana, ila duniani hakuna siri, finally it is out there!

Heshima mbele mkuu kwa article nzito, yaani ndio Kumkoma Nyani Kwenyewe Mchana Kweupe!
 
Kwi kwi kwi!!!!!!!!!!!!!

Muungwana kakabwa kweli kweli. Atafute fall guy wake wa kumtumia kama kinga kama ambavyo Nyerere alivyokuwa na Kawawa.
 
....tatizo lowassa naye yuko ambitious hawezi kukubali kuwa "fall guy " au dodoki la muungwana kama vile kawawa kwa mwalimu na sumaye kwa mkapa....ndio tatizo la kuteuwana kwa mikataba..anapolijutia..
 
....tatizo lowassa naye yuko ambitious hawezi kukubali kuwa "fall guy " au dodoki la muungwana kama vile kawawa kwa mwalimu na sumaye kwa mkapa....ndio tatizo la kuteuwana kwa mikataba..anapolijutia..

mwisho unakaribia pia wengi wanasubiri kichama na kiimani...
 
Turejee kwenye mbinu chafu.

Mwaka 2005 nilijiandikisha katika kituo kimoja kule Arusha. kura zangu zote nilinielekeza upinzani. sitataja nani nilimpa urais hiyo bado ni siri yangu. kwa kuwa matokeo yalikuwa yakibadikwa, nami nilienda kuangalia. kwa mshangao wangu yule niliyepigia ilionyeshwa amepata sifuri ktk kituo kile. lakini cha ajabu sikuwa peke yangu niliyetoa malalamiko kama hayo.

Nilijaribu kutafuta sababu iliyopelekea matokeo yale na niligundua sababu kuu moja. kwamba mawakala wa vyama vya upinzani walishinda njaa siku nzima pale kituoni ili hali wale wa ccm waliletewa chakula na viongozi wao. kilichotokea ni kwamba mtu mmoja (sina hakika kama alihusiana na chama gani) alifika mida ya jioni na kujifanya msamalia mwema kwa kuwapa pesa ili waende maeneo ya jirani wakapate chakula na warudi waendelee na zoezi la kuhesabu kura. muda huo ndiyo bao likapigwa.

Ushauri wangu ni kwamba, ili kushinda, ni lazima pia mawakala wawezeshwe, tena wawezeshwe vya kutosha. huko ndiko shina la hizo 80% za JK
 
ma-engineer wa mbinu chafu ni Kingunge na Rostam na mwingine mmoja nimemsahau wako watatu alikuwa ni balozi anaye mjua atutajie hapaJF
 
pia nikubaliane na mwenzangu wa hapo juu,mtandao walijitahidi sana kujiingiza katika ofisi nyeti(usalama wa taifa) na wakachukua watu wao pale ili wawafanyie kazi,na mmoja wa watu waliokamatwa na mtego huu ni mkurugenzi mkuu mstaafu wa idara hiyo,
 
anayejiita dr. NCHIMBi,huyu ndiye mnafiki mkubwa,alikuwa anachukua mambo ya kambi ya sumaye na anayepeleka kwa kina EL na MUUNGWANA,
na ilifikia akakodiwa chumba pale landmark..sikushangaa alipohusishwa na suala la marehemu AC sababu jibaba hili ni limbeya na linafiki,zaidi ya hapo ni wanaolazimisha phd zao kama dk mathayo,
huwezi kutegemea maamuzi ya maana kama cabinet imejaa watu wenye upeomfinyu,nawasiwasi huwa wanadiscus hata mambo ya twanga
 
kwenye siasa hakuna aliye msafi, sio JK, sio Mbowe, sio Mrema, sio Lipumba, sio nani ! wote wachafu, kama njama 56 alizotumia JK, basi kumbuka na wengine wengi kwenye siasa wana zao pia ila mmemshikilia bango tu Kikwete !
 
kwenye siasa hakuna aliye msafi, sio JK, sio Mbowe, sio Mrema, sio Lipumba, sio nani ! wote wachafu, kama njama 56 alizotumia JK, basi kumbuka na wengine wengi kwenye siasa wana zao pia ila mmemshikilia bango tu Kikwete !


tunamjadili kikwete kwa kuwa ndiye aliyetumia mbinu chafu kushinda....hata kama wapinzani walikuwa na mbinu chafu hazikuwasaidia..na ni kwa kiasi kidogo ambacho kwa umuhimu imetupasa kumjadili jk..

zaidi ya yote wengi tunalaani mbinu chafu ya aina yoyote regardless nani anaitumia...
 

PM nimekupata mkuu ! unataka kuniambia alitumia mbinu chafu halafu akakaa miguu juu na kutamaki akashinda ? jamaa kapiga kampeni, watu wakamkubali ! lazima tukubali kwamba wengi wa watanzania walikuwa wanamzimia JK kupita kiasi, yaani kama yeye binafsi alifanyiwa mbinu chafu 95, what do you expeect ? Wengi wa watanzania lazima tukubali 2005 walimkubali JK, sijui kwa 2010 ! kama mie ningekuwa nagombea urais chama cha upinzani 2005, kwa jinsi watanzania walivyokuwa wanampenda bila ya kumjua JK alivyo kiutawala, ningejitoa mwenyewe ! angalau jamaa meli imemueremea lakini alipendwa ! suala la kusema mbinu chafu ni kwa wale wanaofanya kampeni mapema kwa ajili ya 2010.
 
kwenye siasa hakuna aliye msafi, sio JK, sio Mbowe, sio Mrema, sio Lipumba, sio nani ! wote wachafu, kama njama 56 alizotumia JK, basi kumbuka na wengine wengi kwenye siasa wana zao pia ila mmemshikilia bango tu Kikwete !

mtetezi wa mafisadi! MWK tufanyizie tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…