Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
Mbinu chafu JK alitumia kushinda uchanguzi 2005,
wananchi wangelipenda kujua mbinu zilizo tumia kwa CCM kushinda uchanguzi wa mwaka 2005 zikiwemo kile kilichoitwa ukatili kufa au kupona SALIM H. SALIM alihusishwa kumuuwa Rais wa zamani wa Zanzibar ABEID KARUME, ambayo ilitolewa kwenye magazeti likiwepo GAZETI MWANANCHI.
na aliye kuwa muhariri wa gazeti hilo BW.SAID NGUBA ndiye mwandishi wa waziri mkuu, fadhila hiyo..
mara mbili ukurasa wakwanza, MALECELA,BILALI kutolewa kimabavu, , kutumia BBC RADIO, na mengine mengi hiyo ni mifano tu ziko mbinu chafu zaidi 56 walitumia kushinda WanaJF zijazieni mpaka zifikie au na zaidi, ikiwepo kuiba kura, kuwamaliza upizanani, Ahadi na mikataba waliyo siini, ya mahoteli.kuwaujumu watu wasiyo waunga mkono,
jamani wanajambo mnayajua yawekeni hapa yote ili wasirudie 2010 iwe ni mwanzo na mwisho.
WEKENI HIZO MBINU ZOTE HAPA .
wananchi wangelipenda kujua mbinu zilizo tumia kwa CCM kushinda uchanguzi wa mwaka 2005 zikiwemo kile kilichoitwa ukatili kufa au kupona SALIM H. SALIM alihusishwa kumuuwa Rais wa zamani wa Zanzibar ABEID KARUME, ambayo ilitolewa kwenye magazeti likiwepo GAZETI MWANANCHI.
na aliye kuwa muhariri wa gazeti hilo BW.SAID NGUBA ndiye mwandishi wa waziri mkuu, fadhila hiyo..
mara mbili ukurasa wakwanza, MALECELA,BILALI kutolewa kimabavu, , kutumia BBC RADIO, na mengine mengi hiyo ni mifano tu ziko mbinu chafu zaidi 56 walitumia kushinda WanaJF zijazieni mpaka zifikie au na zaidi, ikiwepo kuiba kura, kuwamaliza upizanani, Ahadi na mikataba waliyo siini, ya mahoteli.kuwaujumu watu wasiyo waunga mkono,
jamani wanajambo mnayajua yawekeni hapa yote ili wasirudie 2010 iwe ni mwanzo na mwisho.
WEKENI HIZO MBINU ZOTE HAPA .