Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

Pole sana Ndugu,

Yaani karne ya Ishirini na moja,bado unamawazo hasi kama hayo,nikusaidie kidogo,Mfumo dume umepitwa na wakati,siku hizi ni kusaidiana,pia nina wasiwasi wewe sio mwanandoa,na pengine Uchumi wako ni wa chini sana,maana kuna familia baba ana gari lake,mama na yeye pia ana lake,hadi watoto,fanya tafiti kabla ya kuleta hoja Mkuu,wewe ni mzoefu hapa,Kama wewe ni mwanandoa unasubiri upelekewe maji bafuni labda ni nyumba za uswahili,lakini kuna watu tu bafuni una press(unabonyeza)unachagua unahitaji maji ya moto au baridi.Neno la Mungu lina tuagiza kuwa PENDA wake zetu na sio kutafuta mbinu za kuwatawala.Wewe lazima utafute na wanaharakati wa jinsia(TGNP)Ninawasilisha.
 
Aisee.....

Leo nimecheka kweli!!! Umecombine issues balaa

TIMING hawa wenzetu wametujia juu sana na tusipokaa chonjo hata jukumu la kuzaa watatafuta namna ya kutubebesha..............kwa hiyop inabidi tuwe na muarobaini wetu.....LOL [MENTION]@TIMING[/MENTION]
 
Pole sana Ndugu,

Yaani karne ya Ishirini na moja,bado unamawazo hasi kama hayo,nikusaidie kidogo,Mfumo dume umepitwa na wakati,siku hizi ni kusaidiana,pia nina wasiwasi wewe sio mwanandoa,na pengine Uchumi wako ni wa chini sana,maana kuna familia baba ana gari lake,mama na yeye pia ana lake,hadi watoto,fanya tafiti kabla ya kuleta hoja Mkuu,wewe ni mzoefu hapa,Kama wewe ni mwanandoa unasubiri upelekewe maji bafuni labda ni nyumba za uswahili,lakini kuna watu tu bafuni una press(unabonyeza)unachagua unahitaji maji ya moto au baridi.Neno la Mungu lina tuagiza kuwa PENDA wake zetu na sio kutafuta mbinu za kuwatawala.Wewe lazima utafute na wanaharakati wa jinsia(TGNP)Ninawasilisha.

Elisante Yona mfume dume ni matakwa ya Mwenyezi Mungu.................hata uukatae kamwe mwanaumme hatabeba mimba ......sasa hapo mtafanyaje? [MENTION]@Elisante Yona[/MENTION]
 
Namba moja na mbili sisi tunaoshinda vijiweni tutafanyaje?
Kutoka saa 12 asubuhi ,kuingia 12:30 jioni ..

Ruta wewe mkoloni sana

hata mimi mchana sipo nyumbani kwa hiyo haina shida lakini siku hizi kuna ports za kutunzia msosi motomoto................hata wewe FirstLady1 ninavyokuamini kwa busara zako mrindima huoni namna ya kunusuru mahusiano?
[MENTION]@Firstlady1[/MENTION]
 
Namshauri asioe, na kama ana mke ajiandae kumwagiwa maji ya moto siku za karibuni

Yummy yaani usichojua ni kuwa wanawake wa kutumainiwa wanadai haya masharti................na wale wanayoyakataa ndoa zao huyumba mno kama siyo kuishia kwa kadhi kwa kufutiliwa mbali [MENTION]@Yummy[/MENTION]
 
quote_icon.png
By Sashel

na wanaume wanokidhi vigezo ni % ngapi?? Truth be told kwa taarifa tu japo wababa walikuwepo lakini wanawake (mama zetu) ndio waliowezesha wengi wengi wetu hapa tukasoma kwa kuuza mama ntilie na vitumbua na sasa tuna maisha bora na hata tunaweza kubofya hizi Qwerty keybord , na hata sasa bado mwanamke ndiye anayehudumia familia kwa sehemu kubwa. hizo role za wanaume wanawake ndio wanaziplay big time..why? b'se more and more men are becoming irresponsible and some one has to take charge I don't mind mind even if is a woman!!

Umenikunaaaaaaaa.......tukutan e jioni wangu.

Just listen to yourself..yani vitu vinavyokupa raha ndo ufanye ww visivyokupa mkeo afanye..na yeye visivyompa raha ?? selfishness huua upendo kabisa!



Hapo sasa......wabongo hawabebekiii

Yaani yummy wanaumme tubebe yetu lakini tusikubali kubeba ya wengineo...........mwanaumme ambaye anakimbilia kubeba ya wanawake ujue huyo hawezi majukumu yake.............
 
quote_icon.png
By Sashel

na wanaume wanokidhi vigezo ni % ngapi?? Truth be told kwa taarifa tu japo wababa walikuwepo lakini wanawake (mama zetu) ndio waliowezesha wengi wengi wetu hapa tukasoma kwa kuuza mama ntilie na vitumbua na sasa tuna maisha bora na hata tunaweza kubofya hizi Qwerty keybord , na hata sasa bado mwanamke ndiye anayehudumia familia kwa sehemu kubwa. hizo role za wanaume wanawake ndio wanaziplay big time..why? b'se more and more men are becoming irresponsible and some one has to take charge I don't mind mind even if is a woman!!

Umenikunaaaaaaaa.......tukutan e jioni wangu.

Just listen to yourself..yani vitu vinavyokupa raha ndo ufanye ww visivyokupa mkeo afanye..na yeye visivyompa raha ?? selfishness huua upendo kabisa!



Hapo sasa......wabongo hawabebekiii

Yaani yummy wanaumme tubebe yetu lakini tusikubali kubeba ya wengineo...........mwanaumme ambaye anakimbilia kubeba ya wanawake ujue huyo hawezi majukumu yake.............[MENTION]@Yummy[/MENTION]
 
Haya yaliwezekana kwa bibi na babu zetu..kipindi hicho mwanamke hakua na elimu wala kazi, kila kitu alimtegemea mumewe kazi zake ilikua kulea watoto,mume na kazi za nyumbani...
Kwa dunia ya sasa huo ni unyanyasaji aisee mfn.nina elimu yangu,kazi nzuri na mshahara mzuri tu sawa na mume au labda kanizidi kidogo atapata wapi nafasi ya kunitawala?
Mimi siamini kwenye mapenzi ya kukomoana eti hata siku moja humsaidii mkeo hata akichelewa kutoka kazini wewe ukawahi hakuna utakalo lifanya?
Mapenzi ni kupendana,kuheshimiana na kusaidiana hicho unachojaribu kusema ni mfumo dume uliopitiliza,hata kama gari amenunua mwenyewe asiendeshe??no thank you..

purple mapenzi ni mgawanyo wa majukumu pia siyo kuvamia hata majukumu ya mwenzio ili kujenga maelewano...........wanaumme wengi siku hizi hawataki hata kufanyakazi kwa madai wameolewa.................tutafika kweli kwa utaniutani huo? [MENTION]@purple[/MENTION]
 
quote_icon.png
By RGforever

1.Kupika ni Jukumu la Mwanaume
2. Kupika je

Mwanaume kamili hafanyi hayo Mambo hapo.. Hako ni kavulana

We uliumbwa nikuletee Pesa za chakula ukanitafutie Vyakula vinono nile nikupende zaidi. Ukileta Mambo ya Ubeijing. Wanawake wa KITANGA na Zanzibar Wanakuwa Nyumba Ndogo..

Hongera......

Hata Kipipi sasa kaona mwanga wa Damascus......................[MENTION]@kipipi,@ RGForever[/MENTION]
 
Katika dini yangu ya kiislam, imenifundisha kuwa mwanamke ni mtu wa kupewa heshima siku zote.

Kazi ya mke kwa mujibu wa dini yetu ya kiislam ni kumpatia mwanaume haki yake, kulea watoto, kuitunza mali ya mumewe na kumpenda mumewe TU! hayo mambo ya kupika, kufua sio kazi ya mwanamke, mambo hayo mwanamke hufanya kwa mapenzi yake kwa mumewe, halazimishwi wala hapigwi wala hagombwi kwa kutofanya ivo vitu. Ofcourse mke anaekupenda atakuhudumia vitu vyote hivo lakini halazimishwi. Tena mwanamke akakikosea hutakiwi kumpiga na kumuumiza, bali unatakiwa uchukue kitambaa chepesi umpige nacho! Hii ndoa itadumu. Lakini ndoa ya kutumia mabavu, haina furaha ng'o
chilubi kwenye ndoa ya kiislamu nani hupaswa kufanya kazi za ndani au hazifanyiki kabisa? [MENTION]@chilubi[/MENTION]
 
Yup..I take them seriously too...

Mr. Silver what about number 8......they are too close home with the one you like......[MENTION]@Mr. Silver[/MENTION]
 
Namba 4 hadi 9 imekaa vizuri. Lakini vipi namba 4 kama utalazimika kuwa kuendeshwa, labda unaumwa?

Ruta nimeelewa vizuri hizi rules zako lakini hiyo ya 4 (asiendeshe gari na wewe ukiwepo) bado siielewi ina maana gani? yani akiendesha na wewe ukiwepo inaleta picha gani?

chakolo ninaomba umsome mito na majibu amekupatia...................asiendesh gari kama wewe uko fiti na sababu ni kuwa asijekuanzakukaribisha mawazo kuwa yeye kashikilia msukani wa familia na wewe kumbe upo kwenye msukani..........[MENTION]chakolo, mito[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Ni rahisi kuona pointi anazoongea Ruta hazifai kwa sasa,well na mimi naafiki kwa kiwango fulani maisha ya leo haipaswi kuishi na mke kwa staili hii,ieleweke bibi zetu walilelewa wakiwaona mama zao wanavyoishi na waume zao hivyo ilikuwa rahisi nao wakiolewa kuendeleza yale waliyoyaona yanafaa kwa mume.Maisha ya leo,wake zetu wamelelewa tofauti sana,ukitaka kuishi naye kwa masharti yote haya ndoa inavunjika siku ya kwanza utakayo implement..ILA na nyie wake zetu tatizo lenu kubwa mwanamume akishirikiana na wewe sana,mnakuwa mnaleta aina fulani ya dharau na kutokuheshimiana na pia mnasahau yapi haswa ni majukumu yenu. pengine ndio maana Ruta ana insist hizi rules..Mfano utakuta mke anamfokea mume kama mtoto,hata hivyo naelewa si wote ila wengi wanasahau majukumu yao

Mtanzania Imara.......uko juu kidogo ingawaje swala la kuwapunguzia makali hawa wenzetu ndiyo chanzo cha kukutawala...........na hapo ndipo mushkeli huanza............[MENTION]@Mtanzania Imara[/MENTION]
 
Hayo ndo mapenzi ya kweli, na kupendana kwa dhati. Sbb naamini sisi ni binadamu, tunategemeana sana, ukisema lazima ufanye haya na mm nifanye haya, kuna kuumwa, kuna kusafiri, kuna bahati mbaya za maisha kuna kukosa. Kwa hiyo siku mume akikosa pesa mm mwanamke namute na pesa zangu na kwamba maisha hayaendi siku hiyo sbb siwezi kuingilia majukumu ya mume.

Maisha ya sasa ni magumu, hatuna budi kubadilika na hatuna budi kusaidiana. Kusaidiana majukumu yanayotukabili km mke na mume. Swala la kusema eti usifanye haya, ukifanya mkeo hatakueshimu yamepitwa na wakati. Km ataamua kutokukukuhesimu anaweza akafanya tu hata km umbane kiasi gani.

Heshima, upendo, mapenzi haupimwi kwa majukumu au kazi. Ni vitu natural toka moyoni mwa mtu.

Kukotona usichojua ni kuwa majukumu lazima yainishwe nayaelewe.......hakuna ubabaishaji hapo.............mapenzi bila wajibu mapenzi hayo hufa ni sawasawa na mche bila ya maji lazima unyauke..........[MENTION]@Kukotona[/MENTION]
 
Hivi kufilisika na kukosa kazi ni chaguo la mtu vile eeeh?!

By the way, real men are always straight. Huna haja ya kuwa mbabe kuwa real man. Msaidie mkeo kupika na kufanya shughuli za nyumbani na ndio atakuheshimu.

Haya unayoyasema wewe yatamfanya akuogope na si kukuheshimu. Kwa mfano; kama mke wangu hajisikii kunipelekea maji na taulo bafuni basi hakuna haja ya kumlazimisha. Raha ya kufanyiwa hivyo ni hiari ya mwenzi na si kwamba wewe huna mikono ya kufanya hivyo.

Mimi nilikuwa na demu jeuri kuliko mwanamke wa kihaya lkn sasa tunavyoongea ni mke na ananiheshimu kuliko wazazi wake. Amekuwa inspired, ameridhia kujinyenyekeza kwangu na ananipenda kweli. Sababu ni kwamba sikushindana naye, nilimuacha aone ujinga wake na kabadilika mwenyewe.

Heshima weka kwenye 6" x 6"

Mwana Mtoka pabaya...............usichojua ni kuwa ndoa siyo kufanya utakavyo bali kufanya na kutekeleza majukumu yako upende usipende kwa sababu mwili wako siyo wako tena....[MENTION]@Mwana Mtoka Pabaya[/MENTION]
 
Kugongelea Misumari kwenye hizi Tactics

quote_icon.png
By Rutashubanyuma

Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupis ha kutoka kwenye hii makala ya
Don’ts for husbands




(


1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............

2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............

3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.





Zibaki Kama zilivyo

(4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.


Asiendeshe kabisaaaa hata kama ukiwepo akitaka anunue lake

(5)Akuchagulie nguo za kuvaa.

6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...

7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile

8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........

9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........

10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji



Yabaki kama yalivyo



Bramo umebarikiwa na unaona mbali sana....................[MENTION]@bramo[/MENTION]
 
Kwali Rose1980,

Mke wangu mie ni my best friend, siyo beki 3, kibarua wala mjakazi...kama nilimbwata basi mimi nimekuwa overdosed!!

Babu DC!!

Dark City mbona wajihami hivyo................si umlete hapa ajielezee mwenyewe.....................usiwe unajishughulisha na kazi za mkeo kama hongo ya kumdhulumu haki zake nyinginezo.........................be watchful...................[MENTION]@Dark City[/MENTION]
 
Love isn't meant that way.. Inabidi kumwelewesha kwa upole sio kumfind means and ways za kumkomoa..

Pato2005 hakuna kubembelezana kwenye kubeba majukumu.............kazi ni moja tu....pasipo haki hakuna wajibu ndiyo shimo ambalo umejitumbukiza..........................kwenye ndoa majukumu lazima yawe wazi siyo kubembelezana.................[MENTION]@pato2005[/MENTION]
 
Back
Top Bottom