Hapa unapoishi leo ndio paradiso mkuu.
Hakuna mahali kwenye Bible kuweandikwa utaded na kwenda paranenga bali kumeandikwa utaishi paranenga
Ukitaka kuamini unaishi paradiso anza kuwa mkweli katika maisha kwa 100%.
Thamini hata kile kidogo ulichonacho.
Shukuru kwa kila jambo.
utashangaa maisha yako yanavyobadilika na kuwa mazuri kupitiliza.
Ukiona unapata mateso jua upo jehanam.
View: https://youtube.com/shorts/gwedm6VU2mw?si=PRB4BnsXb1abkzE2