Mbinguni kuna utata

Mbinguni kuna utata

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,158
Reaction score
48,405
Kwa imani mbingu IPO. Lakini mbingu ni jambo lililojaa utata mtupu.

Mbinguni tunakwenda baada tu ya kufa ama tutakwenda baada ya ufufuo siku ya kiama. Na jee tutakwenda na miili yetu hii au tutapewa miili mipya?

Hivi mtaa wa jehanam nao upo mbinguni ama jehanam tunakutana nayo wapi? Na Jehanamu Kuna kutembeleana kama Ahera (Paradiso)?

Wanaokatazwa hapa duniani kunywa pombe (Waislam) huko mbinguni wamewekewa mito inayotiririsha pombe.

Lakini wanaoruhusiwa kunywa pombe (wakatoliki) hapa duniani wanaambiwa mbinguni hakuna kula wala kunywa. Hivyo wasiokunywa pombe wanafurahia mbinguni watakuta mito ya pombe, na wanaokunywa wanakunywa kwa bidii maana mbinguni hakuna pombe.

Wanaooa wake zaidi ya mmoja (Waislam)hapa duniani wameambiwa mbinguni watakuta mabikra 72 wanawasubiria na bikra zao zitakazokuwa zinajirudia kila baada ya tendo.

Wasiooa (wakatoliki) wanaambiwa mbinguni hakutakuwa na kuuoa wala kuolewa. Duniani bila mke na mbinguni hakuna mke pia.

Kazi ipo!
 
Kwa imani mbingu IPO. Lakini mbingu ni jambo lililojaa utata mtupu.

Mbinguni tunakwenda baada tu ya kufa ama tutakwenda baada ya ufufuo siku ya kiama. Na jee tutakwenda na miili yetu hii au tutapewa miili mipya?

Hivi mtaa wa jehanam nao upo mbinguni ama jehanam tunakutana nayo wapi? Na Jehanamu Kuna kutembeleana kama Ahera (Paradiso)?

Wanaokatazwa hapa duniani kunywa pombe (Waislam) huko mbinguni wamewekewa mito inayotiririsha pombe.

Lakini wanaoruhusiwa kunywa pombe (wakatoliki) hapa duniani wanaambiwa mbinguni hakuna kula wala kunywa. Hivyo wasiokunywa pombe wanafurahia mbinguni watakuta mito ya pombe, na wanaokunywa wanakunywa kwa bidii maana mbinguni hakuna pombe.

Wanaooa wake zaidi ya mmoja (Waislam)hapa duniani wameambiwa mbinguni watakuta mabikra 72 wanawasubiria na bikra zao zitakazokuwa zinajirudia kila baada ya tendo.

Wasiooa (wakatoliki) wanaambiwa mbinguni hakutakuwa na kuuoa wala kuolewa. Duniani bila mke na mbinguni hakuna mke pia.

Kazi ipo!
All those are spritual not material, kwasbb masuali ni mengi kuhusu utaratibu mzima......
 
Hakuna cha mbingu wala nini anayebisha aweke picha ya pale getini tuone geti ni la rangi gani
Huwa nasema kila siku lugha ime imedge after thousands of years watu walivyoanza kugundua vitu na socialization sasa swali huwa linarudi palepale mfano kingereza kimezaliwa wajerumani walivyoanza kukutana na watu wa Britain. Hii ina maana ghani lugha imeweza kuelezea hisia, matukio, Imani na vitu na hadi sasa lugha zinaendelea kukua kutokana na ugunduzi wa vitu.

So ukweli ni kwamba bàada ya kusema haya Kuna generation ya watu hakukua na interaction kama ilivyo sasa na vitu hivi vime emerge as a result of eneo fulani India Wana Imani yao, same to Africa, China, Europe......

So since then all this are not logically proven but rather based on theory and they just remain as mere stories.
 
All those are spritual not material, kwasbb masuali ni mengi kuhusu utaratibu mzima......
"Spiritually" na siyo "materially" lakini maelezo si ya hizo dini? Kwa ivo lazima kama maelezo yao yanahitaji ufafanuzi basi wautoe huo ufafanuzi.
 
Hapa unapoishi leo ndio paradiso mkuu.

Hakuna mahali kwenye Bible kuweandikwa utaded na kwenda paranenga bali kumeandikwa utaishi paranenga

Ukitaka kuamini unaishi paradiso anza kuwa mkweli katika maisha kwa 100%.

Thamini hata kile kidogo ulichonacho.

Shukuru kwa kila jambo.

utashangaa maisha yako yanavyobadilika na kuwa mazuri kupitiliza.

Ukiona unapata mateso jua upo jehanam.


View: https://youtube.com/shorts/gwedm6VU2mw?si=PRB4BnsXb1abkzE2
 
Hapa unapoishi leo ndio paradiso mkuu.

Hakuna mahali kwenye Bible kuweandikwa utaded na kwenda paranenga bali kumeandikwa utaishi paranenga

Ukitaka kuamini unaishi paradiso anza kuwa mkweli katika maisha kwa 100%.

Thamini hata kile kidogo ulichonacho.

Shukuru kwa kila jambo.

utashangaa maisha yako yanavyobadilika na kuwa mazuri kupitiliza.

Ukiona unapata mateso jua upo jehanam.


View: https://youtube.com/shorts/gwedm6VU2mw?si=PRB4BnsXb1abkzE2

Aisee!!
 
Back
Top Bottom