mkuu naomba niwe mkweli tu.sidhan kama atapatikana mshind hapa.hivi vilikuwa vichwa ni sheeeda.umenikumbusha .mbali mkuu
Wote Nawaheshimu Ila Gitaa La Diblo Hata Waliolala Wataamka Na Kucheza Wakati Gitaa La Dally Kimoko ( Dalikike au Gitare Enzanga Likwanza ) Malaika Wote Mbinguni Wanacheza Na Vichanga Tumboni Mwa Mama Zao Vinacheka Huku Miti Nayo Ikitikisika.
unapenda dezo dezo we bwana wee yatakushinda
kodi ya nyumba hulipi maji hutaki kulipa operesheni kata inakujaa...
Tshala Mwana nuksi
unapenda dezo dezo we bwana wee yatakushinda
kodi ya nyumba hulipi maji hutaki kulipa operesheni kata inakujaa...
Tshala Mwana nuksi
Mama Mbilia Bel ni habari nyingine kabisa. Kuna wimbo mmoja sijui kama ni Boya ye au Eswi ya wapi unanikumbusha mbali sana. kwa ujumla mimi namkubali sana Mama Mbilia Bel.
Tshala Mwana nafikiri ni Mkongo wa mwisho ku perform pale Motel Agip. Vijana wa bongo fleva sijui kama wanaijua hotel hiyo.
Wote Nawaheshimu Ila Gitaa La Diblo Hata Waliolala Wataamka Na Kucheza Wakati Gitaa La Dally Kimoko ( Dalikike au Gitare Enzanga Likwanza ) Malaika Wote Mbinguni Wanacheza Na Vichanga Tumboni Mwa Mama Zao Vinacheka Huku Miti Nayo Ikitikisika.
ah ah kila zama na nyakati zake bullet
mkuu bullet naomba unifahamishe kitu kimoja kuhusu tshala ni kweli kuwa alikuwa na sauti nzuri sana na mpangilio wa nyimbo zake ulikuwa mzuri sana na wa kuvutia lakini ukifuatilia kwa undani utakuta ni master copy mfano dezo dezo wa ndalla kasheba na masuwa ambayo original ni ya franco na tp ok jazz japo kwenye hiyo nyimbo inasikika sauti yake.
............. Wivu mwingine bwana.
Hapo ni sheeda kupata mkali kama ilivyo kwa dally Kimoko na diblo dibala kwenye gitaa la solo.
Sidhani kana walikuwa na maproducer wazuri sana ila walikuwa talented sana. Mfano sauti ya Mbilia Bel katika nyimbo kama Nakei Nairobi, Beyanga nk haina mfano wake.
Kuna wimbo aliuimba mara mbili kwa lingala na baadae kiswahili sijui unaukumbuka mkuu? Nakumbuka maneno kadhaa ya wimbo huo kama "majani, vidudu.......kazi ya binadamu" .